Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Luwasa!!!!Hawa ni akina nani?
![]()
Luwasa!!!!Hawa ni akina nani?
![]()
Mbere mambo!APA walienda studio na maandalizi yalifanywa mwezi mziima
Hawapishani kivileMajaliwa mfupi kidogo
Mkuu njoo pm tuzungumze kuhusu profile HiyoLuwasa!!!!
Mh! Zali la mentaliMbere mambo!
MamboMh! Zali la mentali
Saaaaaafi!!!
Habari nzuri. Niko huku Japan kikazi wananizingua na mavyakula yao ya hovyo hovyo. Aaaaargh!Mkuu habari
Si ule nyama ya kuku?Habari nzuri. Niko huku Japan kikazi wananizingua na mavyakula yao ya hivyo hovyo. Aaaaargh!
Japan ya pale gongolamboto msosi Yake mibaya saanaHabari nzuri. Niko huku Japan kikazi wananizingua na mavyakula yao ya hivyo hovyo. Aaaaargh!
We ni me au ke ?? Kumradh lakiniSi ule nyama ya kuku?
Ukipelekwa na wenyeji huna uhuru mkuu. Tena wanakutaka uonje vitu mbali mbali. Jana nimeonja nyama ya nyoka na viumbe wa baharini wala siwajui. Bado wiki moja nigeuze lakini naona kama muongo mzima! Home is home jamani!Si ule nyama ya kuku?
Unataka kunitumia ticket?We ni me au ke ?? Kumradh lakini
Ukija utatumalizia nyoka wetu jamani!!Ukipelekwa na wenyeji huna uhuru mkuu. Tena wanakutaka uonje vitu mbali mbali. Jana nimeonja nyama ya nyoka na viumbe wa baharini wala siwajui. Bado wiki moja nigeuze lakini naona kama muongo mzima! Home is home jamani!
Pole sana, nenda nao sawa tu maana hamna namna nyingineHabari nzuri. Niko huku Japan kikazi wananizingua na mavyakula yao ya hovyo hovyo. Aaaaargh!
eeeh! eenhe! umeingia laini nilikuwa nakusubiri kwa hamu sana mkuu sasa naona umevamia tanki la mimavi sasa ngoja unukie,najua hapo unajitegeza kwa kuwa we ni kiherehere wa wa wakongwe ambao wanajipendekeza kwa mods,kwa muda huu bora nikuache ntakukumbusha baadae nikipata muda wa kukujibu wewe jobless unaetega masikio kusikilizia wapi ambapo mtagaiwa sukari ya bure mliyohaidiwa na uncle magu kwa sasa nakuacha ila baadae ndio utanijua mimi ni naniMakapuku bana, hivi shule hazijafunguliwa tu mkapungua humu, maana mnapenda ligi za kishule shule nyie!
eeeh! eenhe! umeingia laini nilikuwa nakusubiri kwa hamu sana mkuu sasa naona umevamia tanki la mimavi sasa ngoja unukie,najua hapo unajitegeza kwa kuwa we ni kiherehere wa wa wakongwe ambao wanajipendekeza kwa mods,kwa muda huu bora nikuache ntakukumbusha baadae nikipata muda wa kukujibu wewe jobless unaetega masikio kusikilizia wapi ambapo mtagaiwa sukari ya bure mliyohaidiwa na uncle magu kwa sasa nakuacha ila baadae ndio utanijua mimi ni nani