Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
SawaNdio mkuu
SawaNdio mkuu
2 Months on...na bado tunasonga mbeleHAPPY BIRTHDAY MAKAPUKU FORUM
Nawasalimu katika upendo na amani
Leo ni miezi miwili toka Makapuku forum ianze na naomba nichukue nafasi hii kuwashukuru wote,
Shukrani za dhati ziwafikie Makapuku wote popote pale mlipo maana natambua ya kwamba bila nyie basi tusingeweza kufikia hapa tulipo. Najua wote tuna majukumu mengi ila hayo majukumu hayajawa kikwazo katika kufanikisha hili.
Vilevile nasema asante kwa ushirikiano na upendo ambao tumekuwa tukiuonyesha pamoja na sapoti ambayo tumekuwa tukipeana mpaka hatimae tumepata heshima kubwa katika jamii inayotuzunguka.
Mafanikio
Kwa miezi miwili ambayo hii thread imekuwa hewani tumeweza kuwa katika thread ambazo zinafanya vizuri zaidi hapa Jamii forum
Wote mtakuwa mashahidi kuwa hii thread ina views za kutisha na reply 48k ndani ya miezi miwili tu, na kwa matokeo haya tumezigaragaraza zile thread za miaka nenda rudi.
Mafanikio mengine ni idadi ya Makapuku kuzidi kuongezeka siku hadi siku, hii ni fahari kubwa sana kwetu kuona kuwa tunakubalika na watu wanapenda kuwa pamoja nasi, na napenda kuchukua nafasi hii kuwakaribisha wote wanaopenda kujiunga nasi, na kwa moyo mkunjufu nawaambia ya kuwa milango ipo wazi.
Mafanikio mengine tuliyopata ni pamoja na na idadi ya Makapuku katika orodha mbali mbali kuzidi kufanya vizuri.
Tunaongoza kwenye Most points na Most likes pia na nna imani very soon tutakuwa kwenye Most messages.
Mwisho napenda kusisitiza tuishi kwa UPENDO pia kusameheana na kuchukuliana, kukaa pamoja watu wengi sio kitu rahisi hivyo kwa namna moja au nyingine ni lazima kuna sehemu inatokea tunatofautiana basi tusameheane na tusonge mbele
Tuzidishe upendo pamoja na kupeana sapoti kila mahali tunapokutana kwasababu najua hatuishii hapa tu
Happy Birthday Makapuku forum
Tag wote mpaka msg hii iwafikie Makapuku wote kutoka pande mbali mbali za dunia
Nawapenda wote![]()
![]()
![]()
![]()
Jimena
Makapuku oyeeeeHAPPY BIRTHDAY MAKAPUKU FORUM
Nawasalimu katika upendo na amani
Leo ni miezi miwili toka Makapuku forum ianze na naomba nichukue nafasi hii kuwashukuru wote,
Shukrani za dhati ziwafikie Makapuku wote popote pale mlipo maana natambua ya kwamba bila nyie basi tusingeweza kufikia hapa tulipo. Najua wote tuna majukumu mengi ila hayo majukumu hayajawa kikwazo katika kufanikisha hili.
Vilevile nasema asante kwa ushirikiano na upendo ambao tumekuwa tukiuonyesha pamoja na sapoti ambayo tumekuwa tukipeana mpaka hatimae tumepata heshima kubwa katika jamii inayotuzunguka.
Mafanikio
Kwa miezi miwili ambayo hii thread imekuwa hewani tumeweza kuwa katika thread ambazo zinafanya vizuri zaidi hapa Jamii forum
Wote mtakuwa mashahidi kuwa hii thread ina views za kutisha na reply 48k ndani ya miezi miwili tu, na kwa matokeo haya tumezigaragaraza zile thread za miaka nenda rudi.
Mafanikio mengine ni idadi ya Makapuku kuzidi kuongezeka siku hadi siku, hii ni fahari kubwa sana kwetu kuona kuwa tunakubalika na watu wanapenda kuwa pamoja nasi, na napenda kuchukua nafasi hii kuwakaribisha wote wanaopenda kujiunga nasi, na kwa moyo mkunjufu nawaambia ya kuwa milango ipo wazi.
Mafanikio mengine tuliyopata ni pamoja na na idadi ya Makapuku katika orodha mbali mbali kuzidi kufanya vizuri.
Tunaongoza kwenye Most points na Most likes pia na nna imani very soon tutakuwa kwenye Most messages.
Mwisho napenda kusisitiza tuishi kwa UPENDO pia kusameheana na kuchukuliana, kukaa pamoja watu wengi sio kitu rahisi hivyo kwa namna moja au nyingine ni lazima kuna sehemu inatokea tunatofautiana basi tusameheane na tusonge mbele
Tuzidishe upendo pamoja na kupeana sapoti kila mahali tunapokutana kwasababu najua hatuishii hapa tu
Happy Birthday Makapuku forum
Tag wote mpaka msg hii iwafikie Makapuku wote kutoka pande mbali mbali za dunia
Nawapenda wote![]()
![]()
![]()
![]()
Jimena
Mimi nipo, si unajua kusafiri mpaka tupate kibali cha anko maguMzima wa afya, nilifikiria umesafiri![]()
![]()
Mini nipo Mabibo Uswaz Joto CityMakapuku wenzangu hebu kila mmoja atuambie yupo mkoa gani ili kama yupo kapuku jirani yako tuzidi kufahamiana.
Mimi nipo Singida wilayani Iramba karibuni
Umesomeka BitozMini nipo Mabibo Uswaz Joto City
![]()
![]()
![]()
![]()
.............
Bravooooooo2 Months on...na bado tunasonga mbele
He he he ni sheeeederMimi nipo, si unajua kusafiri mpaka tupate kibali cha anko magu
Huo ujumbe wa kutimiza miezi miwili tuseme hujauona au???Sawa
Kiukweli sijauona mkuuHuo ujumbe wa kutimiza miezi miwili tuseme hujauona au???
Happy birthday to usHAPPY BIRTHDAY MAKAPUKU FORUM
Nawasalimu katika upendo na amani
Leo ni miezi miwili toka Makapuku forum ianze na naomba nichukue nafasi hii kuwashukuru wote,
Shukrani za dhati ziwafikie Makapuku wote popote pale mlipo maana natambua ya kwamba bila nyie basi tusingeweza kufikia hapa tulipo. Najua wote tuna majukumu mengi ila hayo majukumu hayajawa kikwazo katika kufanikisha hili.
Vilevile nasema asante kwa ushirikiano na upendo ambao tumekuwa tukiuonyesha pamoja na sapoti ambayo tumekuwa tukipeana mpaka hatimae tumepata heshima kubwa katika jamii inayotuzunguka.
Mafanikio
Kwa miezi miwili ambayo hii thread imekuwa hewani tumeweza kuwa katika thread ambazo zinafanya vizuri zaidi hapa Jamii forum
Wote mtakuwa mashahidi kuwa hii thread ina views za kutisha na reply 48k ndani ya miezi miwili tu, na kwa matokeo haya tumezigaragaraza zile thread za miaka nenda rudi.
Mafanikio mengine ni idadi ya Makapuku kuzidi kuongezeka siku hadi siku, hii ni fahari kubwa sana kwetu kuona kuwa tunakubalika na watu wanapenda kuwa pamoja nasi, na napenda kuchukua nafasi hii kuwakaribisha wote wanaopenda kujiunga nasi, na kwa moyo mkunjufu nawaambia ya kuwa milango ipo wazi.
Mafanikio mengine tuliyopata ni pamoja na na idadi ya Makapuku katika orodha mbali mbali kuzidi kufanya vizuri.
Tunaongoza kwenye Most points na Most likes pia na nna imani very soon tutakuwa kwenye Most messages.
Mwisho napenda kusisitiza tuishi kwa UPENDO pia kusameheana na kuchukuliana, kukaa pamoja watu wengi sio kitu rahisi hivyo kwa namna moja au nyingine ni lazima kuna sehemu inatokea tunatofautiana basi tusameheane na tusonge mbele
Tuzidishe upendo pamoja na kupeana sapoti kila mahali tunapokutana kwasababu najua hatuishii hapa tu
Happy Birthday Makapuku forum
Tag wote mpaka msg hii iwafikie Makapuku wote kutoka pande mbali mbali za dunia
Nawapenda wote![]()
![]()
![]()
![]()
Jimena

Mini niko poa kabisa mkuu.
Natumai umeamka salama salmin.
Lowasa na mkeweHawa ni akina nani?
![]()