Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha hahhahah hakyannan swaumu yangu naihurumia saana
1e148b86ac6c5b6a8ed40e5e36fc3e3f.jpg
 
Hawa jamaa na Wachina wanakula almost everything hasa hawa viumbe wa majini. Na kama taifa nadhani ndiyo wanaongoza kwa kuishi maisha marefu hapa dunian na wana rate ndogo sana ya magonjwa ya uzeeni kama kansa, dementia na Alzheimer. Wanadai kuna viumbe huko baharini wana nutrients zinazopambana na magonjwa mengi. Ukijumlisha na kutopenda kwao kunenepa, ukiasi (moderation) na kufanya mazoezi basi unakuta kazee kako 100+ bado eti kanapiga push up na kurusha mateke. Kwa hili nimewaheshimu kwa kweli. Nimeona mpaka supu ya vyura asubuhi wanasema inaboost mood na kuimarisha msukumo wa damu. Na hao nyoka nikija kweli wakae chonjo. Kuna jamaa hapa ameahidi kunielekeza jinsi ya kuondoa kile kifuko cha sumu kwa wale ambao wana sumu. Ukikosea kikatoboka basi nyoka mzima unamtupa na kama una kidonda mkononi sumu ikapenya basi ni kuRIP tu..
Ha hahahah....hao Haata hawajasoma maandiko ya walawi kwenye biblia...
 
Naona kijana dharau zimezidi au??? Hivi unajiona weewe umesoma saana au???? Who told you kapuku ni wanafunzi??? Acha zako braza....
Nimekustah kwa vile tunafamiana..ila you always think and talk negative about this people

Kuna watu wapo hapa wana profile kubwa na wanasifa kubwa humu Jf kyliko weewe...

Behave pls
ACHENI KUWAPA KICK WAPUUZI
WAPOTEZEE KIZUNGU KWA KUPIGA KIMYA..... Chukua mfano unaenda sehemu unatukana kundi la watu kwa sauti lkn hawakujibu si utaumia moyoni ? coz utaona HAWANA HABARI NA WEWE

Km wanatukana REPORT TU sparm


..................................................
USIWAPE KICK WAPUUZI
Ignore them
.... ......................................................
 
ACHENI KUWAPA KICK WAPUUZI
WAPOTEZEE KIZUNGU KWA KUPIGA KIMYA..... Chukua mfano unaenda sehemu unatukana kundi la watu kwa sauti lkn hawakujibu si utaumia moyoni ? coz utaona HAWANA HABARI NA WEWE


..................................................
USIWAPE KICK WAPUUZI
Ignore them
.... ......................................................
Kumpotezea ndio ila huyu Jamaa rafiki yangu naona anazidi kujisahau...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom