The Hurricane
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 760
- 1,048
makapuku wengine tupo since 2012 lakini tunapewa new member
haya poa yaisheHa ha ha, shule zikifunguliwa haya yote yataisha.
haya poa yaishe
kumbe unataka kutukanwa si ungesema mapema unazunguuuuuka sana nimegundua wewe ni kapuku mwenzangu ndo maana sishuhuliki na wewe mkuu kama unataka nikutukane ngoja kwanza nigoogle mkuuNimeona ile post yako unatafuta mtu wa kumtukana nikasema ngoja nione kama kweli una hayo matusi, ha ha ha.
kumbe unataka kutukanwa si ungesema mapema unazunguuuuuka sana nimegundua wewe ni kapuku mwenzangu ndo maana sishuhuliki na wewe mkuu kama unataka nikutukane ngoja kwanza nigoogle mkuu
SUPU gani!Karibuni thupu kapukuz
Ya mkiaSUPU gani!
Specify kidigo mkuu.
Hawa jamaa na Wachina wanakula almost everything hasa hawa viumbe wa majini. Na kama taifa nadhani ndiyo wanaongoza kwa kuishi maisha marefu hapa dunian na wana rate ndogo sana ya magonjwa ya uzeeni kama kansa, dementia na Alzheimer. Wanadai kuna viumbe huko baharini wana nutrients zinazopambana na magonjwa mengi. Ukijumlisha na kutopenda kwao kunenepa, ukiasi (moderation) na kufanya mazoezi basi unakuta kazee kako 100+ bado eti kanapiga push up na kurusha mateke. Kwa hili nimewaheshimu kwa kweli. Nimeona mpaka supu ya vyura asubuhi wanasema inaboost mood na kuimarisha msukumo wa damu. Na hao nyoka nikija kweli wakae chonjo. Kuna jamaa hapa ameahidi kunielekeza jinsi ya kuondoa kile kifuko cha sumu kwa wale ambao wana sumu. Ukikosea kikatoboka basi nyoka mzima unamtupa na kama una kidonda mkononi sumu ikapenya basi ni kuRIP tu..Ukija utatumalizia nyoka wetu jamani!!
Swissme unafika mpaka huku? Kamlete Mmawia na Mussa Alan pamoja na Mchambuzi iwe quorum nzima. Au wao ni wakongwe?hodi makapuku.
swissme
Naona kijana dharau zimezidi au??? Hivi unajiona weewe umesoma saana au???? Who told you kapuku ni wanafunzi??? Acha zako braza....Makapuku bana, hivi shule hazijafunguliwa tu mkapungua humu, maana mnapenda ligi za kishule shule nyie!
Ha hahhahah hakyannan swaumu yangu naihurumia saana
hahahaha nimekuja kuwasalimia tu makapuku.hakuna hoja huku kwa watoto.Swissme unafika mpaka huku? Kamlete Mmawia na Mussa Alan pamoja na Mchambuzi iwe quorum nzima. Au wao ni wakongwe?