Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu wacha kabisa hali si hali mjini tunalazimshwa kukimbia penda tusipende .
Jana nilianzisha uzi usemao magufuli shikamoo, kuna copy yake humu kapuku wakauunga na uzi mwingine but nilijaribu kuonyesha hali halisi jinsi watu wamepigika mijini, mabank hakuna watu, watu wamepaki magari nk
 
798ae8440a73155473148e96cce4d509.jpg
Njoo gheto basi nakusubiri hapa

......
.........
Hiyo bajaj ni yako?
 
Jana nilianzisha uzi usemao magufuli shikamoo, kuna copy yake humu kapuku wakauunga na uzi mwingine but nilijaribu kuonyesha hali halisi jinsi watu wamepigika mijini, mabank hakuna watu, watu wamepaki magari nk
Mkuu sikufanikiwa kuona nadhani sijaingia JF na siku kadhaa ila kweli hali ni tete mno..Nilienda Bar moja ambayo kipindi cha nyuma ilikuwa lazima ufanye booking ya sehemu ya kukaa ila juzi nilienda tukajikuta tuko wenyewe kama tulivyoenda ikabidi tuudumiwe na wahudumu wote maana wanasema kweli sasa ile maana ya mteja mfalme wameiona..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom