Nitahakikisha mnaenda kutumia vitanda vya gerezaniHatulipi kodi hata senti 5
![]()
![]()
![]()
![]()
........

Poa poa![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Nitahakikisha mnaenda kutumia vitanda vya gerezani![]()
Kwanza huyu binti ameolewa![]()
Wivu wa like huo
.........

Naona umekomaa....basi tutakununulia togwa upoze povuKwanza huyu binti ameolewa![]()
AjiongezeHebu kaka mpe Somo kwanza
Hahahaaaa nimejifunza kitu mkuuChakula chochote kabla ya kuliwa lazima kiombewe....
Hususani chakula cha wakubwa...
We huombagi??? Mkuuu
Ameokota dodo chini ya mpera huyu.Huyu mkapuku sijui anaombea nini!!!!
View attachment 354576
kwa wale wapenzi wa tizi kama mimi, mnakaribishwa kwenye gym yetu inayoitwa simba mbavu nene![]()
Kivipi dada![]()
![]()
kaka Leo umenikosha
Watoto wangu mkuu
Huyo ni jike na ni mtoto.. hivyo hawezi kuwafikia hao biggest hapo juu![]()
Mbona mnyama mwenyewe mchovu TU.....ana mikwara
![]()
![]()
![]()
![]()
...........

Achaga uhuni mkuunaona thread imenoga sanaa