Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Hahahahhaaaa shem mbona wazima taaa!!!Unataka kuninyima nn stem, na hyo shikamoo?
Hahahahhaaaa shem mbona wazima taaa!!!Unataka kuninyima nn stem, na hyo shikamoo?
Kwani wao wanakula??jimena hao ni samaki wa mabwawa Yale ya maji machafu pale mabibo, sidhani kama wanafaa kwa Matumizi ya binadam dadake
Hahahaaa siwezi zimaHahahahhaaaa shem mbona wazima taaa!!!
Wapo vijana wanavua na kuuza kwa wasiojua watokakoKwani wao wanakula??
Napata wasiwasi![]()
![]()
![]()
ndio..
Wasiwasi ya nini?Napata wasiwasi

Akili yakoWasiwasi ya nini?![]()
Mwambie awe wazi aseme atakalo aache kimumunya manenoNapata wasiwasi
Usipate wasiwasi..akili yangu inauwezo kama ule wa DNAAkili yako
Duh ila hapo imekudanganyaUsipate wasiwasi..akili yangu inauwezo kama ule wa DNA
Hebu kaka mpe Somo kwanzaMwambie awe wazi aseme atakalo aache kimumunya maneno
Hapo imetizama majina tu..haijagusa miili..Duh ila hapo imekudanganya
Leta. Story kidogoPowaaa!
Unapenda kulakula km ngur****Weka picha ya hao samaki kwanza