manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Dada sintokuamua katika ugomvi huu..hahahahahHivi Jambilo we ni ke?? Au unapenda tu kuweka avatar za kike??
Dada sintokuamua katika ugomvi huu..hahahahahHivi Jambilo we ni ke?? Au unapenda tu kuweka avatar za kike??
Nimeuliza tu kwa nia njema lakiniDada sintokuamua katika ugomvi huu..hahahahah
Dah nimemiss sana kijiwe hadi magazeti sikuweza pitia leo itabidi niende nyuma hadi niyakute...Uko poa lakini dada angu?Kaka
Sio kwa kuadimika huko
Hahahahahah varangati lake sasa si la kitoto mto anaanza kuchombeza kumbe jamaa anamcheki tu na kidevu chote kimejaa madevu..Nimeuliza tu kwa nia njema lakini
Maana JF ni kawaida mtu unaejua ni ke ukakuta ni me
Mi namiliki baiskeli 1 tu na vijiko 6 sufuria 3 ,vikombe 7.stuli _2. Bakuli 3 na raba pea 1Hiyo bajaj ni yako?
Niko poa kabisa,Dah nimemiss sana kijiwe hadi magazeti sikuweza pitia leo itabidi niende nyuma hadi niyakute...Uko poa lakini dada angu?
Wacha kabisaaaHahahahahah varangati lake sasa si la kitoto mto anaanza kuchombeza kumbe jamaa anamcheki tu na kidevu chote kimejaa madevu..
Ongeza sufuria basi manake siku ukipika mboga 7 hazitatoshaMi namiliki baiskeli 1 tu na vijiko 6 sufuria 3 ,vikombe 7.stuli _2. Bakuli 3 na raba pea 1
Nategemea vitu vya kukodi na kuazima
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Halafu mbona mmeenda kuipaisha ile thread chovu kabisaOngeza sufuria basi manake siku ukipika mboga 7 hazitatosha
Nunua na sahani nikija na th name tutalia nini msosi?Mi namiliki baiskeli 1 tu na vijiko 6 sufuria 3 ,vikombe 7.stuli _2. Bakuli 3 na raba pea 1
Nategemea vitu vya kukodi na kuazima
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Nawawekea kwenye majani ya migombaNunua na sahani nikija na th name tutalia nini msosi?
Mtatumia vijiko na mikono yenuNunua na sahani nikija na th name tutalia nini msosi?
Mikono tutawekea msosi auMtatumia vijiko na mikono yenu