Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Mi siwezi issue za kuweka moyoni, ukiniudhi ujue wazi ntakwambia huyo ni Mimi na sitabadilikaNafikiri unataka kukosea, hapa huwa utani mwingi labda unajisahau unavyonitaniaga.
Pia hatujafikia hatua ya kuvunjiana heshima, nilipoomba msamaha nadhani ingetosha
Utani upo ila sio wa kuvunjiana heshima kama ule.
