Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukatili kwa watoto
78ceab8107de7e4799f1108d6b4f64c5.jpg

Basi huyu tumnyanganye baiskeli
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
 
Fanya utafiti kaka!
Damu ya mbwa inatumiwa kwenye Hehe Rituals.
Tembea vijijni uliza wazee watakuambia; mimi haya niliambiwa na wajukuu wa Mzee Adam Sappi Mkwawa na baadhi ya Wahehe wa ndani!
So i take their word to be affirmative.
I dont know those guys!!! Heck they dont even represent me or my family

Niliuliza wazee wangu wakaniambia different story, and i take theirs.
 
Kwanza nlijua wewe si mhehe

Sasa hapo mlilishwa mbwa kwa sababu ya uzembe wenu alaf eti unasema wahehe uwa wana kula

Lol!!!

Ulikuwa wewe na wenzio, but mi mda nlo ishi iringa sja ona that case
Hata wao hawakujua mpaka huyo mzee alivyokamatwa hivyo kuna posibility ya wewe kula pia bila kujua
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
I dont know those guys!!! Heck they dont even represent me or my family

Niliuliza wazee wangu wakaniambia different story, and i take theirs.

Mzee Sappi alikuwa ni chifu wa Wahehe!
Japo kuna vitu vinakuzwa, lakini mbwa walikuwa wanatumika kwenye makafara!
Pitia historia, haya mambo yapo kaka.
Nlishawahi kuona Wamatengo wanakula nyani.
 
Hapana, siyo Chifu ni wajukuu.
Wanasema damu ya mbwa ilitumika kwenye kafara zao na ibada za kimila.
Sasa hata wanajeshi wa Chifu Mtwa Mkwawa walikula mbwa kuongeza wakati wa vita(Agility).
Lakini mimi miaka ya zamani nimeshuhudia watu wakila mbwa.
Braza unapotoka hapo, tena mazima labda ujitetee kwa kuwa ulikula

Ila kusema wahehe tunakula noooopeeee!!!
 
Back
Top Bottom