Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Mmmh huyo mzee mbaya sanaaaWell,
Tulikula sana tukijua ni mishikaki ya mbuzi.
Hadi yule mzee alipokamatwa na wanakijiji tukajasikia ilikuwa ni mbwa!
It was not that bad!
Manake kamechukua mzigo wa hajaAko ka short kame tsha kwa kweli
I dont know those guys!!! Heck they dont even represent me or my familyFanya utafiti kaka!
Damu ya mbwa inatumiwa kwenye Hehe Rituals.
Tembea vijijni uliza wazee watakuambia; mimi haya niliambiwa na wajukuu wa Mzee Adam Sappi Mkwawa na baadhi ya Wahehe wa ndani!
So i take their word to be affirmative.
Hata wao hawakujua mpaka huyo mzee alivyokamatwa hivyo kuna posibility ya wewe kula pia bila kujuaKwanza nlijua wewe si mhehe
Sasa hapo mlilishwa mbwa kwa sababu ya uzembe wenu alaf eti unasema wahehe uwa wana kula
Lol!!!
Ulikuwa wewe na wenzio, but mi mda nlo ishi iringa sja ona that case

Kasije kaka dondokaManake kamechukua mzigo wa haja
But that doesnt mean wahehe uwa tunakula mbwa, ni ajali tuu hizoHata wao hawakujua mpaka huyo mzee alivyokamatwa hivyo kuna posibility ya wewe kula pia bila kujua
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
I dont know those guys!!! Heck they dont even represent me or my family
Niliuliza wazee wangu wakaniambia different story, and i take theirs.
Safi sana, mi napenda watu smart na wanaojiongeza namna hiiAaah
Nimekusamehe, maana na mie nlikuwa sjapenda
![]()
![]()
![]()

Huyo Chifu alikwambia wahehe wanakula mbwa!!?Mzee Sappi alikuwa ni chifu wa Wahehe!
Japo kuna vitu vinakuzwa, lakini mbwa walikuwa wanatumika kwenye makafara!
Pitia historia, haya mambo yapo kaka.
Nlishawahi kuona Wamatengo wanakula nyani.
Hahahahahaha we nae kila siku unachelewaNyie mna dhulumu, hyo nimetuma mimi

Au ndo hayo wanayosemaga macalos?? Manake maana nimesikia sana stori zake
Mnakula bila kujuaSijawahi kula wala kushuhudia mtu akila
Safi sana, mi napenda watu smart na wanaojiongeza namna hii
Keep it up
![]()
We sasa umejuaje kama tuna kula bila kujua!!!?Mnakula bila kujua
Huyo Chifu alikwambia wahehe wanakula mbwa!!?
Braza unapotoka hapo, tena mazima labda ujitetee kwa kuwa ulikulaHapana, siyo Chifu ni wajukuu.
Wanasema damu ya mbwa ilitumika kwenye kafara zao na ibada za kimila.
Sasa hata wanajeshi wa Chifu Mtwa Mkwawa walikula mbwa kuongeza wakati wa vita(Agility).
Lakini mimi miaka ya zamani nimeshuhudia watu wakila mbwa.