Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
HahahaMara hii una usingizi?? Au we mwenzetu usingizi wako ni wa mwendo kasi?
Wala usingiz wa kawaida tuu
HahahaMara hii una usingizi?? Au we mwenzetu usingizi wako ni wa mwendo kasi?
Mkuu ulishaonja?Haahaaa,
Hiyo kitu imeliwa sana Iringa.
Kuna sehemu inaitwa Tanangozi miaka ya 80's, 90's hadi 2000's imeliwa sana.
Ulikuwa una kula!!!?
Ako ka short kame tsha kwa kweli![]()
Pimbi & Tolu wa mwendokasi
......
sleep well beautiful... see u tena!!Wanakula nini?
SIPENDI TABIA ZA KIPUUZI, HIVYO USINIHUSISHE KWENYE MASWALA YAKO YASIO NA MAANA PLEASE.Tutaongea chemba dadangu jimena hapendi kujionyesha, mambo yake ni ya underground
Uwiiiiii, kweliiii
Na sidhani kama ni wa iringa huyu mtu
Itabidi muingie woteHahaha atavaa nani sasa
Kwanza nlijua wewe si mheheWell,
Tulikula sana tukijua ni mishikaki ya mbuzi.
Hadi yule mzee alipokamatwa na wanakijiji tukajasikia ilikuwa ni mbwa!
It was not that bad!
Mmmmmh mnajitetea tu.... Weka pichaIringa hatuli hyo kitu
Its a myth afterall
Weka pichaHatuliiii
Hahahah tutatosha kweliItabidi muingie wote
Khaaaa kama mtoto kulala sa hizi??Ndo naangalia stail gani niingie nayo kwa godoro
Hahaha sikujua kuwa wachukia toka rohoni, nilidhani wamtania...plizSIPENDI TABIA ZA KIPUUZI, HIVYO USINIHUSISHE KWENYE MASWALA YAKO YASIO NA MAANA PLEASE.
MANAKE NAONA KILA NAVYOKUKALIA KIMYA UNAZIDI TU KUNILISHA MANENO

Tatizo hawataki ukweliHaahaaa,
Hiyo kitu imeliwa sana Iringa.
Kuna sehemu inaitwa Tanangozi miaka ya 80's, 90's hadi 2000's imeliwa sana.
Mmmmmh mnajitetea tu.... Weka picha