Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20251208_065352_Chrome.jpg
Screenshot_20251208_065408_Chrome.jpg
 
Kocha wa timu ya Taifa ya Ivory Coast maarufu Côte d'Ivoire, Emerse Faé ametaja kikosi cha wachezaji 28 watakaokwenda kuiwakilisha nvhi hiyo katika michuano ya AFCON 2025 nchini Morocco huku akiwaacha nke mastaa wenye majina makubwa.

Miongo mwa mastaa waliotemwa ni kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua ambaye amekuwa na kiwango bora tangu atue kikosini hapo.

Wengine ni winga wa Sunderland ya England, Simon Adingra na Nicolas Pepe anayecheza Villareal ya Uhispania.

Screenshot_20251210_112729_InstaPro%20.jpg
 
Abiria 40 wamenusurika baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda wilayani Malinyi mkoani Morogoro kuteketea kwa moto katika eneo la Maseyu mkoani hapa.

Tukio hilo limetokea leo asubuhi, Desemba 9, 2025, katika kona kali ya Maseyu, Kata ya Gwata ambapo basi hilo aina ya Tata
lilianza kuwaka moto na kuungua lote huku abiria wakifanikiwa kutoka wakiwa salama.

Akizungumza na Mwananchi leo Desemba 9.2025 mjini hapa, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, amesema basi hilo lilikuwa likiendeshwa na Halfan Omary, mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam, na lilikuwa limepakia abiria 40 ambao wote wameokolewa bila majeraha.

“Hili gari limeteketea kabisa, lakini tunashukuru hakuna abiria aliyejeruhiwa. Hata hivyo, mizigo na mali nyingine za abiria zilizokuwamo ndani zimeungua,” amesema Kamanda Mkama.

Amesema uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha moto huo ni hitilafu ya mfumo wa umeme wa gari, ingawa uchunguzi wa kina unaendelea kubaini undani wa tatizo hilo.


Screenshot_20251210_112837_InstaPro%20.jpg
Screenshot_20251210_112859_InstaPro%20.jpg
 
Abiria 40 wamenusurika baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda wilayani Malinyi mkoani Morogoro kuteketea kwa moto katika eneo la Maseyu mkoani hapa.

Tukio hilo limetokea leo asubuhi, Desemba 9, 2025, katika kona kali ya Maseyu, Kata ya Gwata ambapo basi hilo aina ya Tata
lilianza kuwaka moto na kuungua lote huku abiria wakifanikiwa kutoka wakiwa salama.

Akizungumza na Mwananchi leo Desemba 9.2025 mjini hapa, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, amesema basi hilo lilikuwa likiendeshwa na Halfan Omary, mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam, na lilikuwa limepakia abiria 40 ambao wote wameokolewa bila majeraha.

“Hili gari limeteketea kabisa, lakini tunashukuru hakuna abiria aliyejeruhiwa. Hata hivyo, mizigo na mali nyingine za abiria zilizokuwamo ndani zimeungua,” amesema Kamanda Mkama.

Amesema uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha moto huo ni hitilafu ya mfumo wa umeme wa gari, ingawa uchunguzi wa kina unaendelea kubaini undani wa tatizo hilo.


View attachment 3513806View attachment 3513807
Basi halina jina?
 
Kumbe tulishapata uhuru🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Mwingereza alitoa uhuru kwa wazee wetu tangu mwaka 1961.
Walitutawala kibaguzi sana shenzi wale.
Angalau sasa tunaishi maisha ya raha🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Mwingereza alitoa uhuru kwa wazee wetu tangu mwaka 1961.
Walitutawala kibaguzi sana shenzi wale.
Angalau sasa tunaishi maisha ya raha🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
...ha ahahaha, mdau, Mwingereza alikuwa anatuangalia tu wala hakututawala.
Mtawala wetu Mjerumani ila wajinga wakaona turafaidi.
Sasa hivi tungekuwa sehemu ya Ujerumani, ndo maana Bayern ndo chama langu.
Wakoloni weusi CCM hakuna nafuu yoyote wanayotupatia.
Au uko kwenye upande wa wanufaika mdau!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom