Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nani tena ,kaku overtake Mkuu
Hata sielewi mkuu.
Hata sielewi..
Ninapotoka, nae nyuma anatoka
Nikimtuma kitu anadai eti amechoka.
.
.
.
Hakika starehe za mjini zimemteka, na nyumbani soon atatoweka.

Nafsi yangu, nilimpa aitunze mpenz........

Ngoja dunia imfundishe atanikuta napiga mistari hii ya prof j
 
Hata sielewi mkuu.
Hata sielewi..
Ninapotoka, nae nyuma anatoka
Nikimtuma kitu anadai eti amechoka.
.
.
.
Hakika starehe za mjini zimemteka, na nyumbani soon atatoweka.

Nafsi yangu, nilimpa aitunze mpenz........

Ngoja dunia imfundishe atanikuta napiga mistari hii ya prof j
Nasingiziwa mimi🙆‍♂️🙆‍♂️
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Auntie hilo swali ni uchochezi.
makaveli10 alipotea nyumbani tangu Jumatano. Leo ndio namuona eti alikuwa Nzega kikazi🙆‍♂️🙆‍♂️
😄🤣😂 jaman mama kija, hicho kitumbo kinakuvuruga eeh..
Au ndio yale ya kuja na fimbo nikuchape, umekumbuka shule ya msingi.

We si nilikuaga kipenzi, na ukanishauri nipande SGR nishuke dom kisha nipande basi kupunguza uchovu wa safari
 
😄🤣😂 jaman mama kija, hicho kitumbo kinakuvuruga eeh..
Au ndio yale ya kuja na fimbo nikuchape, umekumbuka shule ya msingi.

We si nilikuaga kipenzi, na ukanishauri nipande SGR nishuke dom kisha nipande basi kupunguza uchovu wa safari
Mwe mwe mweeeeeeh! Kumbe kuna na mama kija🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Ama kweli dunia hadaa😭😭😭
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom