Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Hapana bwanaUpo home ?
Hapana bwanaUpo home ?
TOTTENHAM Hotspur imekubali kuwapiga bei Davinson Sanchez kwenda Spartak Moscow, imeripotiwa. Klabu hizo mbili zimefikia makubaliano ya ada ya Pauni 13 milioni kwa ajili ya huduma ya beki huyo wa kati.
Kiungo mkata umeme wa Fiorentina, Sofyan Amrabat, 26, amefikia makubaliano na Manchester United juu ya kutua Old Trafford kwa mkataba wa miaka mitano.
PARIS Saint Germain imekubali ofa itakayovunja rekodi ya dunia ya Pauni 259 milioni kutoka Al Hilal kwa ajili ya kumsajili supastaa Kylian Mbappe, imeripotiwa. Imedaiwa klabu hiyo ya Saudi Pro League imempa Mbappe ofa ya mshahara wa Pauni 11.6 milioni (Sh 36.6 Bilioni) kwa wiki.
😂😂😂😂Hapana bwana
Mtume cmamaAnakula vyoteeee mpaka anapaliwa

Kudadeki,wakubwa wanafaidiAnakula vyoteeee mpaka anapaliwa
Hahaha,Hapana bwana
White Beach Park,Huu mkono wako au ? Mbn km template ?Karibu kwa huduma nzuri na za bei nafuu.View attachment 2699502
Tunapatikana:
White Beach Park,
Tanki Bovu, Mbezi Beach,
Dar es Salaam, Tanzania.
Huu mkono wako au ? Mbn km template ?
Safi sana ,uko vzrHapana boss nime design mwenyewe.
Mimi niko poa kbs ,nafurahi kukuona hapaMimi niko poa sana Swahiba...
Vipi wewe?
ShikamoooooooMimi niko poa sana Swahiba...
Vipi wewe?
Ahsante Swahiba....Mimi niko poa kbs ,nafurahi kukuona hapa