Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971

Kuna nini auntieHahahahaAaaaah wapi wewe....
Utachezea mwendo wa kuwekewa vindege hadi ukome....Niko hapa![]()
Maki eti anabisha
Alisema sijui kuna mtu kakuandikia thread ya mahaba

Mlikutana wapi mkapeana hizo habari thread zilishafungwa na mods zote mbili sipendagi hizo mambo za drama
Haamini amini auntieMaki eti anabisha
Humu humu kapuku tokea ile siku alikuwa ametekwa huyu shangaziMlikutana wapi mkapeana hizo habari thread zilishafungwa na mods zote mbili sipendagi hizo mambo za drama
Mwambie wewe sasaHaamini amini auntie
HahahahahaHumu humu kapuku tokea ile siku alikuwa ametekwa huyu shangazi
Ila auntie hata wewe![]()




Alisema sijui kuna mtu kakuandikia thread ya mahaba



Wivu siyo mzuri....Naaaam Auntie..Niko hapa auntie![]()
Anasema eti kuna wapo unawawekeaga Vindege....Kuna nini auntie




Sikusema hata Auntie.Mlikutana wapi mkapeana hizo habari thread zilishafungwa na mods zote mbili sipendagi hizo mambo za drama




Ongea vizuri wewe....Humu humu kapuku tokea ile siku alikuwa ametekwa huyu shangazi





Alitekwa tenaHumu humu kapuku tokea ile siku alikuwa ametekwa huyu shangazi
Ongea vizuri wewe....
Utakuwa unaomba kupikiwa Pilau kila siku na haupikiwi...
Ujeuri siyo mzuri
![]()



Ila auntie mekushindwa
Sikusema hata Auntie.
Huyo ana machungu yake huko![]()

Anasema eti kuna wapo unawawekeaga Vindege....
Ila kwake jeuri hiyo huna![]()



Nacheka mimi