Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
BANDA AOMBA CHAKE ASEPE
.
Winga Peter Banda
anadaiwa kugoma kupelekwa kwa mkopo katika timu nyingine akitaka avunjiwe mkataba kama hayupo kwenye mipango ya klabu hiyo.
.
Awali ilielezwa Banda alikuwa akitakiwa na Azam FC, lakini dili hilo linadaiwa kufa kimya kimya baada ya kusajiliwa Mgambia, Djibril Sillah. Banda anashinikiza alipwe chake asepe kama hayupo kwenye mipango ya kocha Roberto Oliveira.
………………
.
Winga Peter Banda
anadaiwa kugoma kupelekwa kwa mkopo katika timu nyingine akitaka avunjiwe mkataba kama hayupo kwenye mipango ya klabu hiyo..
Awali ilielezwa Banda alikuwa akitakiwa na Azam FC, lakini dili hilo linadaiwa kufa kimya kimya baada ya kusajiliwa Mgambia, Djibril Sillah. Banda anashinikiza alipwe chake asepe kama hayupo kwenye mipango ya kocha Roberto Oliveira.
………………
ASTON Villa inadaiwa kuwa kwenye rada za mwisho za kumsajili beki kisiki wa Villarreal, Pau Torres mwenye umri wa miaka 26, katika dirisha hili. Staa huyo wa kimataifa wa Hispania
kwa sasa yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake na anaonekana kutamani zaidi kutua England kuungana na Unai Emery. Msimu uliopita alicheza mechi 39 za michuano yote.
na badala yake amepanga kuendelea kusalia kwenye kikosi chake licha ya timu hiyo kushuka daraja msimu uliomalizika.