Tottenham wamefikia makubaliano ya mdomo na Leicester kumsajili James Maddison! Maslahi binafsi yamefikiwa, ada ya pauni milioni 40 baada ya mazungumzo kufikia hatua ya mwisho jana usiku. Hatua zinazofuata: vipimo vya matibabu, hati zinatayarishwa na kisha kutiwa saini.
BREAKING: Klabu ya Kaizer Chiefs yamtangaza Molefi Ntseki kama kocha mkuu kuelekea msimu ujao. Kaizer yaamua kumtosa Kocha wa zamani wa Yanga Nasriddine Nabi baada ya kushindwana maslahi binafsi. nabi alitaka kwenda na benchi lake la Ufundi kwa watu anaowataka yeye akiwemo Milton(goalkeeping coach), Helmi(fitness coach) pamoja na Khalil Ben Youssef (Video Analyst)
Nabi atakuwa kaoewa kifuta jasho cha usumbufuBREAKING: Klabu ya Kaizer Chiefs yamtangaza Molefi Ntseki kama kocha mkuu kuelekea msimu ujao. Kaizer yaamua kumtosa Kocha wa zamani wa Yanga Nasriddine Nabi baada ya kushindwana maslahi binafsi. nabi alitaka kwenda na benchi lake la Ufundi kwa watu anaowataka yeye akiwemo Milton(goalkeeping coach), Helmi(fitness coach) pamoja na Khalil Ben Youssef (Video Analyst)
View attachment 2672678
BREAKING: Arsenal wametuma ofa ya tatu kwa dau la hadi pauni milioni 105 kumnunua kiungo na Captain wa Westham Declan Rice.
Ila ameyataka na yeye masharti mengiiiiNabi atakuwa kaoewa kifuta jasho cha usumbufu
Ndio biashara ilivyo ShunieIla ameyataka na yeye masharti mengiiii
Ngoja tuone team itakayomchukua itakuwa hivihivi auNdio biashara ilivyo Shunie