Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
.
MBALI ya ofa nono ya zaidi ya Pauni 40 milioni kwa mwaka kutoka Saudi Arabia, mshambuliaji wa Crystal Palace, Wilfried Zaha, 30, amepokea ofa pia kutoka Lazio.
.
Staa huyu wa kimataifa wa Ivory Coast
mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa mwezi huu hadi sasa bado hajafanya uamuzi wa wapi atacheza kwa msimu ujao.
MBALI ya ofa nono ya zaidi ya Pauni 40 milioni kwa mwaka kutoka Saudi Arabia, mshambuliaji wa Crystal Palace, Wilfried Zaha, 30, amepokea ofa pia kutoka Lazio..
Staa huyu wa kimataifa wa Ivory Coast
mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa mwezi huu hadi sasa bado hajafanya uamuzi wa wapi atacheza kwa msimu ujao.
Victor Osimhen kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi. Osimhen amekuwa gumzo kwelikweli huko Ulaya utokana na kiwango bora alichokionyesha msimu wa 2022-23, akifunga mabao 26 kwenye ligi na matano Ligi ya Mabingwa Ulaya.
dirisha lililopita, lakini ilishindwa kuwalipa Monaco na kuwafanya Madrid kunasa saini yake.
amegeuka lulu kwa timu za Bandari, Gor Mahia zote za Kenya na Namungo kuonyesha nia ya kuitaka saini yake.