Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Polisi Tanzania rasmi imeshuka daraja kutoka Ligi Kuu Bara hadi Championship baada ya leo kukubali kichapo cha mabao 6-1 kutoka kwa Simba SC.
Polisi Tanzania anaungana na Ruvu Shooting ambayo nayo mechi ya kushuka daraja ilicheza dhidi ya Simba katika Uwanja wa Chamazi, Dar na kufungwa mabao 3-0 Mei 12.
Mabao ya Simba yamefungwa na Saido Ntibazonkiza (5) na Israel Mwenda (1) huku la Polisi Tanzania likifungwa na Henock Mayala (1).
Polisi Tanzania anaungana na Ruvu Shooting ambayo nayo mechi ya kushuka daraja ilicheza dhidi ya Simba katika Uwanja wa Chamazi, Dar na kufungwa mabao 3-0 Mei 12.
Mabao ya Simba yamefungwa na Saido Ntibazonkiza (5) na Israel Mwenda (1) huku la Polisi Tanzania likifungwa na Henock Mayala (1).

️ Said Ntibazonkiza