Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mawaziri na wabunge wakiwapongeza Waziri wa Nishati, January Makamba na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Stephen Byabato baada ya Bunge kupitisha bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma leo.
Bunge limepitisha kiasi cha Sh3 trilioni kutumiwa na wizara hiyo katika mwaka ujao wa fedha.
Bunge limepitisha kiasi cha Sh3 trilioni kutumiwa na wizara hiyo katika mwaka ujao wa fedha.

Kwa mujibu wa daktari wa Simba amenambia Kama kila kitu kitakwenda sawa basi kesho Ijumaa wataruhusiwa kutoka Hospitali na kurejea nyumbani Tanzania.
“Tutaleta wachezaji ambao wana njaa ya mafanikio kwa hadhi ya Simba na sio vinginevyo. Simba ni klabu ya Makombe sio kuwa hapa tulipo.”