Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
Mawaziri na wabunge wakiwapongeza Waziri wa Nishati, January Makamba na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Stephen Byabato baada ya Bunge kupitisha bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma leo.
Bunge limepitisha kiasi cha Sh3 trilioni kutumiwa na wizara hiyo katika mwaka ujao wa fedha.
Bunge limepitisha kiasi cha Sh3 trilioni kutumiwa na wizara hiyo katika mwaka ujao wa fedha.