Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,575
- 35,820
Labda wapindue kabatiويويينيطوطوطوطو
HahahahaLabda wapindue kabatiويويينيطوطوطوطو
Kumbe shida yote ni hiyo?KUHUSU KURUDI YANGA
“Mimi sina shida na Yanga, sina ugomvi na mashabiki/wanachama wa Yanga, hata hapa nilipo ni kwa sababu ya Yanga! Bahati mbaya wanaaminishwa mimi mbaya lakini mimi nawapenda kama wanavyonipenda!
“Mimi tatizo langu kubwa ni Rais wa timu [Eng. Hersi Said] ndio maana nilipokaanae chini nilimweleza kwamba naomba tumalizane ili kila mmoja aendelee na mambo yake ili na mimi niendelee na maisha yangu.”
“Kama Eng. Hersi Said akiondoka Yanga hata leo sasa hivi mimi nipo tayari kurudi Yanga. Sina tatizo na Yanga wala mashabiki, akiondoka Rais kwenye klabu mimi sasa hivi nafunga safari ya kurudi Yanga.”
- Feisal Salum via #PowerBreakFast View attachment 2642503