GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,072
- 16,387
Niko poa kabisa.Mzima sana sijui wewe
Na furaha ya Uto kupigwa.
Niko poa kabisa.Mzima sana sijui wewe
Tuna furaha wote nchi imetulia tunasubiria wakapigwe na uko tuzidi kufurahiNiko poa kabisa.
Na furaha ya Uto kupigwa.
Wanadai eti, wanashinda ugenini.Tuna furaha wote nchi imetulia tunasubiria wakapigwe na uko tuzidi kufurahi
Maneno ya kujifariji hayoWanadai eti, wanashinda ugenini.
Ngoja tuwaone.
ambayo jina lake limewekwa siri.

. Wakala anaamini hilo litafanyika lakini anasubiri tu ofa sahihi kwa mchezaji wake. Berkane hawana mpango wa kuendelea na mfungaji bora wa muda wote wa Niger msimu ujao. Simba, Al Hilal, TP Mazembe na Al Ittihad wanafuatilia kwa makini sakata hili. [mickyjr]