Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,450
merciPole sana we mzee
merciPole sana we mzee
kabisa yaaniNdio unavyofanyaga eenh
Samaki wa mchanga si ndio chamaki mchanga!!....mimi ni ajinabi wa kusini huko tunakula samaki wa mchangani.
Hiyo namba usinipe maana wewe ni kama mmasai siwezi kukuwekea dhamana nawasubiri TCRA wamalizane na Elon Musk wanipatie hiyo namba na siku hizi nina kishkwambi mdogo wangu kwa hiyo nitawaambia wanipe na email yake.
Naamini maisha yanakutendea haki mdau, pamoja sana. Ndugu yako nipo, jua likiwaka sisemi naungua
Obe miyeyusho ujue.. Akili zake ni kama za Kaka yake O B O
Namna gani tena Mzee Mwenzangu?
Si kasema anaenda TCRA![]()
Yanga oyeeerrNUSU FAINALI CAFCC 22/23
.
YANGA SC
MARUMO G
![]()
16:00
Mkapa.
.
Nia ya Yanga ya kuweka rekodi kwa kucheza hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ni kwa kuibuka na Ushindi mnono nyumbani leo. View attachment 2616292
Binamu shikamoo....mimi ni ajinabi wa kusini huko tunakula samaki wa mchangani.
Hiyo namba usinipe maana wewe ni kama mmasai siwezi kukuwekea dhamana nawasubiri TCRA wamalizane na Elon Musk wanipatie hiyo namba na siku hizi nina kishkwambi mdogo wangu kwa hiyo nitawaambia wanipe na email yake.
Naamini maisha yanakutendea haki mdau, pamoja sana. Ndugu yako nipo, jua likiwaka sisemi naungua
Nishapewa jin jipy?duh, kumbe ndiyo iko hivi. Inaweza kuwa imetafsiriwa kutoka anga za Kanada na Marikani wanakowaita 'aliens'.
Kwa hiyo Lee ni ajinabi hapa Bongo.
Makiwendo you are missed big time. Bado naendelea kuuliza kama TCRA wanawea kunipatia namba yako ya simu
Shunie mara zaote asante kwa magazeti na Je wajua
mkwepu jr popote ulipo kula chuma hicho, kivumbi leo , like-d the like
makaveli10 mdau veterani huna baya na mtu nakusalimia mwanaSimba
Makapuku, sehemu nzuri kabisa kuwepo sababu wewe upo
...hapana anko, mji umekuwa mdogo sana na hakuna jina jipya ulilopewa ukiachana na yale matatu yaliyozoeleka kwenye ile mitaa yetuNishapewa jin jipy?
Asante we mzee kwa kushukuruAhsante kwa magazeti shangazi@Shunie
tuko pamoja,karibuAsante we mzee kwa kushukuru