Makapuku Forum

Makapuku Forum

“Mimi ni muumini sana wa mchezaji wa 12 [mashabiki] matokeo kama haya yanaumiza, lakini hata sisi yanatumiiza. Mtu wa kwanza ambaye anataka matokeo ya ushindi ni Kocha na benchi lake la ufundi.”

“Inapotokea matokeo ya namna hii yanaumiza, niwaambie mashabiki wa Simba kwamba imetuumiza sote. Kikubwa ni kujipanga na kukaa chini kuangalia tulikosea wapi ili siku za mbeleni tuweze kufanya vizuri zaidi.”

- Juma Mgunda, Kocha Msaidizi Simba.
Screenshot_20230509_050928.jpg
 
SHUSHA MKWANJA
.
Barcelona inatarajia kumwomba Frenkie de Jong apunguze mshahara wake tena ili kuipa nguvu timu hiyo ya kumrejesha supastaa Lionel Messi kikosini.

Jambo hilo la kumtaka De Jong ashushe mshahara linaweza kuwa na faida kubwa kwa Manchester United wanaohitaji kwelikweli huduma ya kiungo huyo wa Kidachi, kwamba anaweza kuvutiwa na mpango wa kwenda Old Trafford, mahali ambako atalipwa kibosi.
Screenshot_20230509_080432.jpg
 
duh, kumbe ndiyo iko hivi. Inaweza kuwa imetafsiriwa kutoka anga za Kanada na Marikani wanakowaita 'aliens'.
Kwa hiyo Lee ni ajinabi hapa Bongo.



Makiwendo you are missed big time. Bado naendelea kuuliza kama TCRA wanawea kunipatia namba yako ya simu
Shunie mara zaote asante kwa magazeti na Je wajua
mkwepu jr popote ulipo kula chuma hicho, kivumbi leo , like-d the like
makaveli10 mdau veterani huna baya na mtu nakusalimia mwanaSimba

Makapuku, sehemu nzuri kabisa kuwepo sababu wewe upo
 
duh, kumbe ndiyo iko hivi. Inaweza kuwa imetafsiriwa kutoka anga za Kanada na Marikani wanakowaita 'aliens'.
Kwa hiyo Lee ni ajinabi hapa Bongo.



Makiwendo you are missed big time. Bado naendelea kuuliza kama TCRA wanawea kunipatia namba yako ya simu
Shunie mara zaote asante kwa magazeti na Je wajua
mkwepu jr popote ulipo kula chuma hicho, kivumbi leo , like-d the like
makaveli10 mdau veterani huna baya na mtu nakusalimia mwanaSimba

Makapuku, sehemu nzuri kabisa kuwepo sababu wewe upo
Namba ya makiwendo ninayo, mzee mwenzangu hana baya na mimi...

Nipo mkuu kibishi..

Wewe ni ajinabi wa wapi?
 
Namba ya makiwendo ninayo, mzee mwenzangu hana baya na mimi...

Nipo mkuu kibishi..

Wewe ni ajinabi wa wapi?
....mimi ni ajinabi wa kusini huko tunakula samaki wa mchangani.
Hiyo namba usinipe maana wewe ni kama mmasai siwezi kukuwekea dhamana nawasubiri TCRA wamalizane na Elon Musk wanipatie hiyo namba na siku hizi nina kishkwambi mdogo wangu kwa hiyo nitawaambia wanipe na email yake.

Naamini maisha yanakutendea haki mdau, pamoja sana. Ndugu yako nipo, jua likiwaka sisemi naungua
 
Watu wanne wamejeruhiwa na wengine kupelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru baada ya kutokea kwa mlipuko mkubwa wa gesi katika kiwanda cha kutengeneza mikate kilichopo Kata ya Kiranyi Wilayani Arumeru Mkoani Arusha

Mashuhuda wa tukio hilo wamesema Watu waliokuwa wanajaza gesi kwenye mitungi hiyo walishindwa kuifunga vizuri na kupelekea kulipuka.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Emmanuel Kaganda amesema moto huo umesababisha majeruhi wanne kupelekwa Hospitali
Screenshot_20230510_051407.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom