Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
“Mchezaji wa kimataifa [anaecheza kwenye klabu ambayo sio ya nchini kwake] mfano mchezaji wa nje ya Tanzania akiingia kwenye matatizo na klabu ya Tanzania, anaweza kwenda moja kwa moja FIFA.”
“Mchezaji wa Tanzania akiingia kwenye mgogoro na klabu ya Tanzania hiyo inaitwa ‘national dispute’, yeye anaweza kwenda CAS pekeyake. Kufungua tu kesi CAS ni Tsh. 56 hadi 60 milioni!
“Mimi na timu yangu ya Uingereza tunajaribu kuongea na Katibu wa FIFA na kuangalia tunasaidiaje kukifanyia kazi kipengele hicho kwa sababu fedha ni nyingi sana, kuna wachezaji wengi wa Afrika hawawezi kumudu wanashindwa kupeleka kesi zao CAS.”
“Washushe kiwango cha fedha kwa wachezaji wanaocheza Afrika ili wale wenye madai yao waweze kupeleka kesi zao CAS.”
- Jasmine Razack, Msimamizi wa Feisal Salum.
“Mchezaji wa Tanzania akiingia kwenye mgogoro na klabu ya Tanzania hiyo inaitwa ‘national dispute’, yeye anaweza kwenda CAS pekeyake. Kufungua tu kesi CAS ni Tsh. 56 hadi 60 milioni!
“Mimi na timu yangu ya Uingereza tunajaribu kuongea na Katibu wa FIFA na kuangalia tunasaidiaje kukifanyia kazi kipengele hicho kwa sababu fedha ni nyingi sana, kuna wachezaji wengi wa Afrika hawawezi kumudu wanashindwa kupeleka kesi zao CAS.”
“Washushe kiwango cha fedha kwa wachezaji wanaocheza Afrika ili wale wenye madai yao waweze kupeleka kesi zao CAS.”
- Jasmine Razack, Msimamizi wa Feisal Salum.

, Achraf Hakimi
aitwaye Hiba Abouk
baada ya kuachana na Hakimi March 27,2023 alienda Mahakamani na kuwasilisha kesi ya kudai talaka huku akitaka agawiwe nusu ya mali ya Hakimi.