Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
hahaha,kwann utakua na kigugumizi au kuwa bubu?we mzee unataka nikawe na kigugumizi au niwe bubu si etii
hahaha,kwann utakua na kigugumizi au kuwa bubu?we mzee unataka nikawe na kigugumizi au niwe bubu si etii
Nguo zako tu za kubadiliNatakiwa kuja na nini?
Sielewi me zaidi ya salaam tuhahaha,kwann utakua na kigugumizi au kuwa bubu?
hahahaha,nini huwezi ?Sielewi me zaidi ya salaam tu
Kwani hapo tunazungumzia nini we mzeehahahaha,nini huwezi ?
mengine nitakufundisha tukiwa hukoKwani hapo tunazungumzia nini we mzee
Sawa, kuwa karibu na simu yako. Maana sipajui vizuri hapo kwakoNguo zako tu za kubadili
mengine nitakufundisha tukiwa huko
hapo sawa kwahiyo kujua salamu si inatosha sana
Usijali sema kingineSawa, kuwa karibu na simu yako. Maana sipajui vizuri hapo kwako
Dooh mbona sijawahi kukutana na hii thread ikitokea nimekutana nayo nitakuita au ngoja nimuite auntie Makiwendo huyu mtembeaji anaweza kuijuaAlaf Shunie naomba unisaidie jambo moja, kuna Uzi nautafuta sana. Kuna jamaa anaelezea Mzee wake alifariki, yeye akarudi home kukaa na mama yake. Baada ya muda kuna Mali akauza ili apate ada ya kuendelea na masomo. Mama yake alipojua, akamwambia aondoke home, jamaa akaenda Njombe (nahisi alikuwa mwalim pia).
Kama umeijua, naomba unitag au unitajie jina
Imagine Auntie na mimi ndiyo nausikia hapa...Dooh mbona sijawahi kukutana na hii thread ikitokea nimekutana nayo nitakuita au ngoja nimuite auntie Makiwendo huyu mtembeaji anaweza kuijua
Unajua me sio mtembeaji zaidi ya makapuku au entertainment kwenye story sehemu zingine inatokea tu bahati mbaya hiyo siku nipo majukwaa mengine
Mengine hayafai kuyasema hadharani 😅Usijali sema kingine
Mengine hayafai kuyasema hadharani![]()
Tutayaongea tukikutana si ndio eenhNautafuta sana huo Uzi. Alaf hauna siku nyingi, nadhani ni WA mwezi huu, kama sio uliopita. Muhusika ni kama anasema amekata tamaaDooh mbona sijawahi kukutana na hii thread ikitokea nimekutana nayo nitakuita au ngoja nimuite auntie Makiwendo huyu mtembeaji anaweza kuijua
Unajua me sio mtembeaji zaidi ya makapuku au entertainment kwenye story sehemu zingine inatokea tu bahati mbaya hiyo siku nipo majukwaa mengine
Masikini mpaka hurumaNautafuta sana huo Uzi. Alaf hauna siku nyingi, nadhani ni WA mwezi huu, kama sio uliopita. Muhusika ni kama anasema amekata tamaa
Yah!!!....Itakuwa...Itakuwa mtu katoa story ya maisha yake inaonekana inasikitisha sana auntie
Aliuza vitu fulani vya baba ake, akapata ada na kwenda kusoma open university, post za ualimu akaomba apangiwe njombeMasikini mpaka huruma