Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima ameitambulisha klabu ya Yanga SC kuwa balozi wa kampeni maalum yenye lengo la kupinga na kutokomeza mmonyoko wa maadili.
"Napenda kuchukua fursa hii kuwatambulisha rasmi Klabu ya Yanga kuwa mabalozi wa kampeni ya kupinga na kutokomeza mmomonyoko wa maadili na unyanyasaji wa kijinsia na watoto"
Rais wa klabu hiyo, Hersi Said amesema anaungana na Waziri Gwajima katika kampeni hiyo ya kupinga mmomonyoko wa maadili na unyanyasaji wa kijinsia na watoto.
"Napenda kuchukua fursa hii kuwatambulisha rasmi Klabu ya Yanga kuwa mabalozi wa kampeni ya kupinga na kutokomeza mmomonyoko wa maadili na unyanyasaji wa kijinsia na watoto"
Rais wa klabu hiyo, Hersi Said amesema anaungana na Waziri Gwajima katika kampeni hiyo ya kupinga mmomonyoko wa maadili na unyanyasaji wa kijinsia na watoto.
