Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkongwe wa kupiga gitaa la rythm kutokea nchini Congo, Lokassa ya M'bongo (80) amefariki dunia Jumanne usiku nchini Marekani baada ya kuugua muda mrefu.

Lokassa ambaye alikwa kiongozi wa bendi maarufu ya Soukous Stars alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari.

Lokassa atakumbukwa kwa nyimbo kali ambazo alishiriki kuziandaa na kupiga gitaa kama Bonne Annee, Monica, Marie-Josse na Assito

GENTAMYCINE natamani uje umuelezee kidogo hii sekta nakukubali sana nakumbuka kuna siku jukwaa la Entertainment nilikukuta unawaelezea wacongo siwakumbuki nilitamani tu uendelee kuwaelezea View attachment 2553220
Huyo ndiyo Baba la Gitaa la Rythm nchini Congo DR na kwa Kizazi hili Kidogo anayemfuata ni aliyekuwa Mpiga Rythm Guitar wa Wenge BCBG aitwae Alba Alcompa Nyero.
 
Magazeti ya leo March 16, 2023
Screenshot_20230316_073132_Opera%20Mini.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom