Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Miili ya Watu 12 wa ukoo mmoja wa Mrema kati ya Watu 20 waliopoteza maisha kwenye ajali ya gari Wilayani Korogwe Mkoani Tanga imeagwa katika Hospitali ya Huruma, Mkuu Rombo Mkoani Kilimanjaro huku Viongozi mbalimbali wakishiriki akiwemo Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda.
Miili hiyo itaapelekwa katika Kanisa Katoliki Mkuu kwa ajili ya Ibada kisha kwenda kuzikwa kwenye makaburi yaliyoandaliwa.
Miili mingine ilichukuliwa na Ndugu maeneo ya njia panda ya Himo kwenda kuzikwa sehemu mbalimbali.
Miili hiyo itaapelekwa katika Kanisa Katoliki Mkuu kwa ajili ya Ibada kisha kwenda kuzikwa kwenye makaburi yaliyoandaliwa.
Miili mingine ilichukuliwa na Ndugu maeneo ya njia panda ya Himo kwenda kuzikwa sehemu mbalimbali.

