Karibu sana mkuuFor the first time ngoja nionje burudani ya makapuku forum.
Haha naelewa kipenziNimekumiss pia dear yaani nitakosa majukwaa yote sio makapuku jamani
Thanks a lot mkuu.Karibu sana mkuu
Habari za wewemtu chake nakusalimia mzee mwenzangu.
Salama kabisa.Habari za wewe
Kikuu🤣🤣🤣Mimi nani kanificha sasa
Hapana sio code🤣🤣🤣
Sema kabila lenu hasa wanawake huwa naona mnafananafanana kimtindo
Hiyo "mimi" ni code ujue
Auntie atakuwa mkikuyu kama ndugu yangu
Sema kabila lenu hasa wanawake huwa naona mnafananafanana kimtindo
Hiyo "mimi" ni code ujue
Ndugu yako wichi?Auntie atakuwa mkikuyu kama ndugu yangu
Haha si nimefichwa na weweHapana sio code
Weeeh!! Hatufanani.