Makapuku Forum

Makapuku Forum

BADO SIKU 5 LIGI YA MABINGWA AFRIKA IREJEE ..!!
Screenshot_20230206_065128_OGInsta%2B.jpg
 
KLOPP AOMBA MWANASHERIA
.
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp anahitaji kuwa na mwanasheria wake kwanza kabla ya kusema kitu kuhusu Chelsea inavyotumia pesa nyingi kwenye usajili wa mastaa wapya. The Blues imelipa zaidi ya Pauni 600 milioni kwenye usajili tangu ilipoanza kuwa chini ya umiliki wa bilionea Todd Boehly, ambaye aliinunua Mei mwaka jana.
.
Katika dirisha la Januari, mwaka huu, Chelsea imesajili wachezaji wanane ikitumia Pauni 323 milioni ukiwamo usajili wa pesa nyingi wa mastaa Mykhailo Mudryk na Enzo Fernandez.
.
Klopp anashangazwa na kusema: “Sisemi kitu bila ya mwanasheria wangu. Sielewi hii biashara inavyofanyika, lakini namba ni kubwa sana. Wote ni wachezaji wazuri, hongera yao. Lakini, sielewi hii inawezekana vipi, mimi siwezi kuifafanua.” alisema Klopp,
Screenshot_20230206_065300_OGInsta%2B.jpg
 
AUBA KUTAZAMA UEFA KWENYE TV
.
Pierre Emerick-Aubameyang amepigwa chini kikosi cha Chelsea cha Ligi ya Mabingwa Ulaya na kwa hasira ameamua kwenda zake Milan wakati timu ikiwa na mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Fulham usiku wa juzi Ijumaa.
.
Auba, 33, aliondoshwa kikosini ili kutoa nafasi kwa wachezaji wapya waliosajiliwa Januari. Chelsea ilinasa wachezaji wanane kwenye dirisha hilo na kanuni za Uefa kulikuwa na wachezaji watatu tu ndiyo waliokuwa wakiruhusiwa kwenye kikosi cha michuano hiyo.
.
Auba sasa atabaki kucheza kwenye Ligi Kuu England tu, huku hasira za kuondolewa zikimfanya aende zake Milan, ambako alipigwa picha akiwa na kaka yake juzi Ijumaa wakati chama lake lilikuwa na mechi dhidi ya Fulham iliyomalizika kwa sare ya bila kufunga.
Screenshot_20230206_065347_OGInsta%2B.jpg
 
Hapana sio code

Weeeh!! Hatufanani.
Haha si nimefichwa na wewe

Mi naonaga mnafanana tu asee

Ujue binafsi kuna makabila baadhi ya watu wake nikiwaona tu kwa mara ya kwanza, naweza kuhisi huyu atakuwa kabila fulani na unakuta asilimia kubwa inakuwa kweli, mfano wanyakyusa, wachagga, wamasai, waluo, nk kutokana na kwamba wengi wanafananafanana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom