AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,273
Wewe uku waga hautokiSema kweli jamani

Wewe uku waga hautokiSema kweli jamani

Niende wapi mkuu huku pananitosha sanaaaWewe uku waga hautoki![]()
Yeah umekimbia mno.Sema kweli jamani
Nikaribishe na mm ShunieNiende wapi mkuu huku pananitosha sanaaa
Basi karibu sana na huku HimarsYeah umekimbia mno.
Mnajadili kuhusu nini hukuKaribu sana mkuu yaani sana uwe na amani na furaha ukiwa makapuku
Ndio nimejiingizaBasi karibu sana na huku Himars
Huku bwana asubuhi kuna magazeti kuna habari mchanganyiko na michezo na vilevile story za hapa na paleMnajadili kuhusu nini huku
WoooowNdio nimejiingiza
Ok nimeshakaribiaHuku bwana asubuhi kuna magazeti kuna habari mchanganyiko na michezo na vilevile story za hapa na pale
Shukrani mkuuOk nimeshakaribia
ThanksShukrani mkuu
Mwee
Kumbe alikuwa Lupita?
Umefichwa na nani?


Yeah sema ile aliyonyoa ndiyo iko vizuriHuyo naye Lupita dear
Salama kabisa nilikumiss nikasema ngoja leo nitafute huu uzi nije nikusalimu maana najua huku hukosekaniSafi kipenzi za wewe
Pamoja mkuu!Wasalam ndugu zangu,mwezi wa upendo na wapendanao,nawasalimu
sana mkuu wanguPamoja mkuu!
Arudishe ile ya mwanzoYeah sema ile aliyonyoa ndiyo iko vizuri