....naam anko, ndugu yako nipo sawa sana, nashukuru kwa kutonijulia khali. Mimi nimeulizia nikaambiwa simu hauko nayo, nilipopiga akapokea alyepokea siku ya mkesha wa mwaka mpya
Nachoweza kusema na ukanielewa ni kuwa sorry anko .......naam anko, ndugu yako nipo sawa sana, nashukuru kwa kutonijulia khali. Mimi nimeulizia nikaambiwa simu hauko nayo, nilipopiga akapokea alyepokea siku ya mkesha wa mwaka mpya
Asante kwa magazeti eksiiii bebee
Mbona eksiii babe heheeAsante kwa magazeti eksiiii bebee
🤣🤣🤣🤣 bhasi tutor eksiMbona eksiii babe hehee
...sasa anko, mbona tulielewana kabisa kuwa pale nilitegeshewa. Japo nashukuru kwa kuniletea dawa lakini ugonjwa ni siri na unajua huu mwaka ndugu yako najielekeza milimani japo inbox sijibiwi hata salamu tu za mwaka mpya sijapewa.Nachoweza kusema na ukanielewa ni kuwa sorry anko ...
Alafu ulipona ? Nilikuwa sikujulii hali kwa sababu ugonjwa ulijitakia mwenyewe