Farhan Jr
JEAN BALEKE, the streets have been looking for the ADMN! Yes am here because the Hunter has arrived, habari ya Lebanon, pole na safari! Hujambo na karibu Tanzania, nchi ya @baraka_mpenja na ndio nchi ya Mashalove.
JEAN unaitwa JOHN, asili ya Jina lako kwa sisi watoto wa Mungu ni Kiebrania kutokana na jina Yochanan ikiwa na maana Mungu ni mwema! Una jina la kitakatifu lakini ni Mchawi zaidi ya Gambosh mbele ya Makipa, Aishi knows ball! He says you are exceptional.
Nani kumfunga Fiston Mayele kengele? Uliwaambia Simba una hiyo dawa, email za klabu ilizijibu kwa madaha sana kuwa ni muda wa kuzima mziki na kuiacha miluzi ya DJ @djallybi isambae, utamaliza ubishi mapema sana kama Mkubwa Kipanya @masoudkipanya akidamka kuianzisha Power Breakfast ya @cloudsfmtz
The streets have been screaming for the real deal! Well you are the deal, muda wa Maprofesa UDSM mpaka Mzumbe wapi UDOM na Ardhi kubadili coursework kutoka 16 mpaka 21 ooh sorry! Ni muda wa Wahitimu kutumia clip zako kama sehemu ya CV zao wakiomba Internship kwenye ofisi za umma, kwakuwa Jean Baleke is for everybody.
Ni muda wa kuandika upya vitabu vyetu, wapo wenye hofu na uwezo wako, wapo wenye shaka na CV yako lakini dhahabu safi huoshwa kwa moto! There will be haters lakini ishi nayo Impossible is nothing.
Ni muda wa Mabeki kurejea tena notes za Walimu wao Grassroots kuhusu Basics of defending, ni muda wa Walimu kurejea tena notes za DARK ARTS miaka 100 nyuma huko Italia na Austria, kwakuwa ndio muda wa Mabeki kula mishahara yao kihalali, no stone will be left unturned.
Karibu Tanzania, nchi ambayo Wanyakyusa wamejazana Makumbusho wanauza Iphone na kuzisifia bus za Sauli
MMEENJOY??___