Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20221205-045100_Opera%20Mini.jpg
 
Afya ya Gwiji wa soka duniani Pele, inatajwa kuwa katika hali mbaya na hakuna matibabu yoyote ya mionzi ambayo yanaweza kumfanya awe sawa, huku taarifa zikiripoti kuwa amewekwa kwenye uangalizi maalum wa kupunguza maumivu na asipate changamoto ya pumzi kwa wakati huu ila hakuna tiba ambayo inaweza kutatua changamoto yake.

Prayers for the King of footballView attachment 2435044
Daah!
Mungu tu ndie mwenye kuweza kumsaidia, hakishindikani kitu kwake yeye ndiye mwenye maamuzi ya mwisho mwetu.
 
Kijana Albert Mrema ambaye alinusurika katika ajali ya gari iliyosababisha vifo vya Mama na Wanawe wawili na akawa amelazwa ICU Hospitali ya Mloganzila, nae amefariki dunia, Albert ndiye alikuwa Dereva wa gari hilo ambalo liliacha njia na kuingia Barabarani na kifo chake kinafanya Familia hiyo sasa kuwa imempoteza Mama na Wanae watatu.

Ajali hiyo imetokea Jumamosi iliyopita maeneno ya Kibamba na kusababisha vifo vya Watu watatu, Immaculata Byemerwa (49) ambaye ni Mama pamoja na Watoto wake Jolister Byemerwa (17), aliyekuwa anafanyiwa sherehe ya mahafali siku hiyo na Janeth Byemerwa (20), Mwanafunzi aliyekuwa anasoma mwaka wa tatu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).

Albert Mrema ambaye alizaliwa mwaka 1994 alikuwa Mtoto wa kwanza wa Immaculata kabla ya kufunga ndoa na Mhandisi Josephat Byemerwa, Baba wa Familia ambaye alifariki dunia mwezj May mwaka jana na sasa mwaka mmoja tu baada ya kifo chake Mkewe na Watoto watatu nao wamefariki.
View attachment 2436142View attachment 2436143
Habari hizi zina maumivu makubwa unapozisoma na kuzisikia, lakini hamna lakufanya zaidi ya kushukuru tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom