Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
MARTINEZ NDO BASI UBELGIJI
.
Kocha wa timu ya taifa ya Ubelgiji
aliyeinoa kwa muda mrefu, Roberto Martinez, ameachia ngazi baada ya kutolewa kwenye fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea huko Qatar, huku ikielezwa ubovu wa kikosi na masupastaa kutojituma vikitajwa kumwangusha.
.
Martinez alithibitisha mchezo dhidi ya Croatia waliotoka suluhu kuwa ulikuwa mwisho kwake kukalia kiti cha ukocha. Martinez alisema kuondolewa mapema katika michuano hiyo lilikuwa pigo kubwa kwake na Wabelgiji kwani wameshindwa kutinga raundi ya 16 bora na kuzua gumzo Kubwa.
.
Kocha wa timu ya taifa ya Ubelgiji
aliyeinoa kwa muda mrefu, Roberto Martinez, ameachia ngazi baada ya kutolewa kwenye fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea huko Qatar, huku ikielezwa ubovu wa kikosi na masupastaa kutojituma vikitajwa kumwangusha..
Martinez alithibitisha mchezo dhidi ya Croatia waliotoka suluhu kuwa ulikuwa mwisho kwake kukalia kiti cha ukocha. Martinez alisema kuondolewa mapema katika michuano hiyo lilikuwa pigo kubwa kwake na Wabelgiji kwani wameshindwa kutinga raundi ya 16 bora na kuzua gumzo Kubwa.
huenda akaondolewa kwenye fainali ya Kombe la Dunia zinazoendelea kutokana na majeraha yanayomsumbua kwani hajapata nafuu kama ilivyotarajiwa.
na hivi nina safari ya mwanza kiukweli ningekutafuta japo tu tuonane kidogo


3-1 USA
️ Depay 10’
2-1 AUSTRALIA
Afya ya Gwiji wa soka duniani Pele, inatajwa kuwa katika hali mbaya na hakuna matibabu yoyote ya mionzi ambayo yanaweza kumfanya awe sawa, huku taarifa zikiripoti kuwa amewekwa kwenye uangalizi maalum wa kupunguza maumivu na asipate changamoto ya pumzi kwa wakati huu ila hakuna tiba ambayo inaweza kutatua changamoto yake. 