Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
hahahahaha.aucle kuwa na amani. Mie mjomba na mjomba mama.kwann binti asifurahie neno la mjomba ake




Mjomba ni Mama Swahiba..hana madhara
hahahahaha.aucle kuwa na amani. Mie mjomba na mjomba mama.kwann binti asifurahie neno la mjomba ake




aisee usiombe uwekewe 'kindege' ni noma swahiba
Swahiba nimecheka sana....
Na Uzee huu 'Kindege' siyo poa Swahiba..
hahahahaha.tatizo aucle anawazia jambo lake tu.
Mjomba ni Mama Swahiba..hana madhara
Mkuu,hahahahaha.tatizo aucle anawazia jambo lake tu.
hahahahahaha.mm bana uzee unanijia vby shangazi
Wengine sisi kupenda ugonjwa.na ukipenda na kawivu kako. Si nitakufa na presha ?


we mzee unakuwaga na wivu woiiii ndio unataka kuanza kwa auntie yangu makiiiaisee usiombe uwekewe 'kindege' ni noma swahiba





Uncle atulizane...mwambiehahahahaha.tatizo aucle anawazia jambo lake tu.
Mkuu,
We acha tu, kuna vitu mungu akikupa utavitunza hata kwa mkono wa chuma...hahaha! We acha tu mzee!!





Kumbe we binti ulishawekwa mtu kati humu...hahaha!!



ebu niache we mzeeKasema yeye ni mjomba....we mzee unakuwaga na wivu woiiii ndio unataka kuanza kwa auntie yangu makiii

Auntie hata wewe unachocha?![]()



Sasa auntie nifanyeje mambo kwa ground ni tofauti
Aki Auntie... Si nicheke
Mlete Mzunguuuuu..




auntie mbona mlete mzungu
Hebu Achana na hizo Heineken unakunywa hapo Auntie....
Tulale...


kesho nikitoka job napitia kb hotel auntie kuna mtu naena kuonana naye sijui nitarudi saa ngapi kijijini kwangu na kesho kutwa naingia asubuhi
Sasa auntie nifanyeje mambo kwa ground ni tofauti




We kuwezaaaa hizi mambo zilinishinda aiseee me mwenyewe nacheka na kila mtu mpaka machiziImagine niache kusalimiana kama hivi na Swahiba hapa.... Si nitaumwa homa![]()
hahahahaha.aku hili aje mwenyewe aoneUncle atulizane...mwambie
Mimi sio mjomba, wajomba wapo migombani wanapambania kombe huko, mie uncle. Ukishindwa kunitunzia jambo langu tunavunja undugu..haha!




halafu uncle wako na mahela mob wajomba wanakunywa mbege migombaniAlooooooh!!!kesho nikitoka jon napitia kb hotel auntie kuna mtu naena kuonana naye sijui nitarudi saa ngapi kijijini kwangu na kesho kutwa naingia asubuhi