Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Kasema yeye ni mjomba....
Na Mjomba ni Mama...![]()


Sasa mjomba huyu mbona ako na wivu
Kasema yeye ni mjomba....
Na Mjomba ni Mama...![]()


Sasa mjomba huyu mbona ako na wivu
Basi yeisheee acha nilale
Sasa usichoche sana Auntie..
We kuwezaaaa hizi mambo zilinishinda aiseee me mwenyewe nacheka na kila mtu mpaka machizi




hahahahaha,shangazi akeAlooooh
Kb ipo sinza sio kebbysAlooooooh!!!
Mambo ya kurudi hayo yatajisumbukia Auntie... nenda kaenjoy kwanza...
Kb ni ipi hiyo Auntie? Ni Kebbys?
halafu uncle wako na mahela mob wajomba wanakunywa mbege migombani



Nipo apa mzee akeehahahahaha,shangazi ake
mie ukicheka km hv najisikia raaahaaa
Wacha weeehmie ukicheka km hv najisikia raaahaaa
Kb ipo sinza sio kebbys





Nawashangaa hawa kuniita mjomba, wajomba wapo migombani huko wana koti moja, shati moja na suruali yake. Baridi ya milimani huwezi jua rangi ya koti manake linavaliwa 24/7.halafu uncle wako na mahela mob wajomba wanakunywa mbege migombani


mie ukicheka km hv najisikia raaahaaa
Napenda kucheka Swahiba...raha utaipata sana
nafurahia kukuona shangazi ake .tunatafuta usingizi hpNipo apa mzee akee
Taratibu We Mzee..Nawashangaa hawa kuniita mjomba, wajomba wapo migombani huko wana koti moja, shati moja na suruali yake. Baridi ya milimani huwezi jua rangi ya koti manake linavaliwa 24/7.![]()