Mimi mwenyewe mzee!Taratibu We Mzee..
Utaachiwa laana za Wazeee...ooooh.
km ni hv basi raha .swahibaNapenda kucheka Swahiba...raha utaipata sana
![]()
mzee fataki utakua.unamrubuni mjomba angu MakiwendoMimi mwenyewe mzee!
anze kukuamkia sio au vp mzee aucleMimi mwenyewe mzee!
ahsante.swahiba ndo nakaribia niko njiani
Karibu Swahiba..
Siku hizi sio mnywaji hata nina miezi 3 sijanywa nahisi naanza kuzeeka
Kaji'enjoy Auntie....
Ila hizo Heineken zinywewe kwa kiasi...usije kushindwa kuamka kwenda kibaruani![]()
Nawashangaa hawa kuniita mjomba, wajomba wapo migombani huko wana koti moja, shati moja na suruali yake. Baridi ya milimani huwezi jua rangi ya koti manake linavaliwa 24/7.![]()


umesahau na kofia za mzee ojwang na fimbo wajomba bwana kiko mdomoni
Sijui huku hata nafanyaje, ni huyu mtoto ndio kanileta? Ngoja nisepe kwanza..mimi sio kapukuShunie kesho ulete magazeti au nikurudishe huko juu mtae kwenye baridi.


kumbe unasomaga kimyakimya magazeti nilikuwa sina mpango wa kuweka nimekuwekea kwa heshima yako yasome sasa