Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nawashangaa hawa kuniita mjomba, wajomba wapo migombani huko wana koti moja, shati moja na suruali yake. Baridi ya milimani huwezi jua rangi ya koti manake linavaliwa 24/7.[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umesahau na kofia za mzee ojwang na fimbo wajomba bwana kiko mdomoni
 
Sijui huku hata nafanyaje, ni huyu mtoto ndio kanileta? Ngoja nisepe kwanza..mimi sio kapuku[emoji1787][emoji1787] Shunie kesho ulete magazeti au nikurudishe huko juu mtae kwenye baridi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe unasomaga kimyakimya magazeti nilikuwa sina mpango wa kuweka nimekuwekea kwa heshima yako yasome sasa
 
Magazeti ya leo September 14
Screenshot_20220914-060638_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20220914-060704_Opera%20Mini.jpg
 
Back
Top Bottom