ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,443
- 119,028
Tafuta namna ya kuwaambia watu, hatuishiwi mbinu sie!!Alikuwa Shem darling
Saa hii sijui naambia nini watu mimi Aki!!!!
Tafuta namna ya kuwaambia watu, hatuishiwi mbinu sie!!Alikuwa Shem darling
Saa hii sijui naambia nini watu mimi Aki!!!!
hahahahaha.sawa sawa ,hy nayo muhimu ,swahibaHa ha ha...
Kwenye hilo mimi Bata namchunguza Swahiba![]()
Si huwa tunaanza na kaka na dada nawee!![]()


Alooh halafu baadae inafatia nini etiiii mtu na cousin akee
Alikuwa Shem darling
Saa hii sijui naambia nini watu mimi Aki!!!!


haya mambo haya hakuna namna toa shem hapo tutaendelea na darling
KhaaaaSitaki kusikia unacheka na mtu we mlimbwende![]()



mapema yote hii woiii iliwahi nikutaga hii mtu akiquote inabidi tu umpe like ukicheka naye unakutana na mvua yako ya maneno ila nyie wanaume shenzy kabisaaaahahahaha,dahhaya mambo haya hakuna namna toa shem hapo tutaendelea na darling
hahahaha,shangazi ikabidi uwe unatiiiKhaaaamapema yote hii woiii iliwahi nikutaga hii mtu akiquote inabidi tu umpe like ukicheka naye unakutana na mvua yako ya maneno ila nyie wanaume shenzy kabisaaaa
hahahaha.mzee unapiga pin kbsSitaki kusikia unacheka na mtu we mlimbwende🤣🤣
hahahaha,kijana hataki .wajomba wazee tusikusalimieAlikuwa Shem darling
Saa hii sijui naambia nini watu mimi Aki!!!!
hahahaha,shangazi ikabidi uwe unatiii


nitiii wapiii me mtu akiniquote najibu kama kawaida najua nakutana na mvua yangu ya maneno si nimeshamzoea umeshanikuta na mazoea na watu we unataka kunikatisha nao kesho tukiachana unigombanishe na watu nitacheka na nanihahahahahaha dah.huwa nakwepa sn hizi mambonitiii wapiii me mtu akiniquote najibu kama kawaida najua nakutana na mvua yangu ya maneno si nimeshamzoea umeshanikuta na mazoea na watu we unataka kunikatisha nao kesho tukiachana unigombanishe na watu nitacheka na nani
Mambo zipi unakwepa we mzee maisha ndio haya haya usiogope mtu bwanahahahahahaha dah.huwa nakwepa sn hizi mambo
hahahahahaha.mm bana uzee unanijia vby shangaziMambo zipi unakwepa we mzee maisha ndio haya haya usiogope mtu bwana
Mkimuona Makiwendo mwambieni uncle (mimi sio mjomba)hahahahahaha.mm bana uzee unanijia vby shangazi
Wengine sisi kupenda ugonjwa.na ukipenda na kawivu kako. Si nitakufa na presha ?

anampa hi sana. Anaruhusiwa kucheka na kila mtu, ma-uncle hatuna wivu wala. Ila jambo langu anitunzie..



Kumbe we binti ulishawekwa mtu kati humu...hahaha!!nitiii wapiii me mtu akiniquote najibu kama kawaida najua nakutana na mvua yangu ya maneno si nimeshamzoea umeshanikuta na mazoea na watu we unataka kunikatisha nao kesho tukiachana unigombanishe na watu nitacheka na nani
Sitaki kusikia unacheka na mtu we mlimbwende![]()





Tafuta namna ya kuwaambia watu, hatuishiwi mbinu sie!!





Auntie hata wewe unachocha?haya mambo haya hakuna namna toa shem hapo tutaendelea na darling

Aki Auntie... Si nichekeKhaaaamapema yote hii woiii iliwahi nikutaga hii mtu akiquote inabidi tu umpe like ukicheka naye unakutana na mvua yako ya maneno ila nyie wanaume shenzy kabisaaaa





hahahaha,kijana hataki .wajomba wazee tusikusalimie




