Makapuku Forum

Makapuku Forum

hahahahahaha.mm bana uzee unanijia vby shangazi

Wengine sisi kupenda ugonjwa.na ukipenda na kawivu kako. Si nitakufa na presha ?
Mkimuona Makiwendo mwambieni uncle (mimi sio mjomba)[emoji1787][emoji1787] anampa hi sana. Anaruhusiwa kucheka na kila mtu, ma-uncle hatuna wivu wala. Ila jambo langu anitunzie..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nitiii wapiii me mtu akiniquote najibu kama kawaida najua nakutana na mvua yangu ya maneno si nimeshamzoea umeshanikuta na mazoea na watu we unataka kunikatisha nao kesho tukiachana unigombanishe na watu nitacheka na nani
Kumbe we binti ulishawekwa mtu kati humu...hahaha!!
 
Back
Top Bottom