Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Nakuelewa vyema Auntie...Ya niniii kufatana fatana penzi limeshaishaaaa
but anakaa poa ila kana mwili mduchuuu






Nitajua huko huko🤣🤣🤣ukishawaoa utawafanya nini sasa
Huh!! 🤣🤣🤣🤣
Niseme tu umejua kunichekesha Wallah....
Nimecheka mno...Sasa ile yangu kwani hapo ipo? Ile si ni tofauti? AU?
🤣🤣🤣🤣🤣Hata mimi nipo kama auntietukiachwa tunaachika na ukiachwa achikaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
Nilitegemea hili....
Kwakweli 🤣🤣🤣we haikuhusu kabisa
Weeeh!! Leo kagusa mpira!!Sema ukweli haujashangilia goli la mlete mzunguuu
Ndio maana silipwi🤣🤣🤣Ni kwanini?
Naomba usitaje yale ya sirini![]()
Wewe na tunani?You are missed even more mama. Tuendelee kufurahia ushindi wa Simba🤣🤣🤣
Halafu tuanze kusumbuana jitu tumekutana ukubwani tuNakuelewa vyema Auntie...
Na mambo kwa ground yalivyo mengi...masaa yenyewe machache.....
Hahahaah ila kanafaaa kwa matumizi auntie
Ila Auntie....
Kwa kweli ana ka mwili kaduchuuu...ila siyo saaana...
Ebu ukooooWeeeh!! Leo kagusa mpira!!
Mnajifanya mabandidu sio?Halafu tuanze kusumbuana jitu tumekutana ukubwani tu
We si ndio mwalimu wetuMnajifanya mabandidu sio?
Hapana, uache kunisingizia🙆🙆We si ndio mwalimu wetu