“Nia tulikuwa nayo lakini hiyo changamoto (Mshahara) ilitufanya kumkosa, Simba hatujafikia levo ya kumpa mchezaji Dola 25,000 (sh 58milioni) wachezaji wetu Dola 1,000 au 1,500 hatuwezi kumlipa mmoja hiyo pesa kubwa kiasi hicho wakati uwanjani wanacheza 11 inakuwa sio sawa ndio maana tulikubali kumkosa.
“Dilunga aliumia akiwa katika majukumu yake ndani ya klabu, baada ya kumpeleka Afrika Kusini kutibiwa sasa hivi yuko chini ya uangalizi wa madaktari wa Simba.
MMEMSIKIA KOCHA NABI KUHUSU AZIZI KI !?
baada ya nyota huyo kumaliza mkataba wake na kushindwa kuwaridhisha viongozi.
KABWILI
RAYON SPORTS 
amesaini mkataba wa mwaka mmoja katika klabu ya Rayon Sports inayoshiriki Ligi Kuu ya Rwanda.
na kusababisha vifo vya watu 41. Kanisa la Abu Seifein Church, lililopo katika mji wa Giza, lilichomwa moto Jumapili.
| Manchester United wameanza mazungumzo na Real Madrid pamoja na kambi ya Casemiro juu ya uwezekano wa kuinasa saini yake
Shaffih Dauda