Makapuku Forum

Basi mimi huu muonekano wa sasa wa browser naona ndiyo una nafuu kidogo

Siku hizi natumia kote kote maana app nayo ndiyo kama wameisusa

Notifications bado ni janga kubwa mno yani
 
Kwamba unaniona Mikocheni Mara ya tatu hii?
Dah!!! Huyo unayemuona usinifananishe naye kabisa...

Jioni niwe wapi ndugu? Najua wewe Weekend end yako ni J3
Enjoy...

Umeshafika 25?
Bado kabisa ndio kwanza 17.5😀😀

Pale maeneo flani.. leo ulikuwa unatokea wapi tumepishana chalinze pale

Heshima yako Boss
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…