Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,366
- 176,197
Hayo ndio mambo yake, auntie yako mzito mzitosasa mama jeep ni auntie maki auntie

Hayo ndio mambo yake, auntie yako mzito mzitosasa mama jeep ni auntie maki auntie

Litoke wapi Auntie kwa Kapuku mimi...
ESPY Huyo ndiyo ananiotesha mandoto makubwa makubwa...





Sitokiiiiiiii
Tokaaaa
Maisha ni kuchagua auntie, wewe si unaota magramu.bora we unaoteshwa mandoto makubwa auntie mimi je uku
Hivi lizarazu alipoteleaga wapi?Ndiyo....
Na sasa hivi ukimuona alivyokuwa mpole mwenyewe....
Hutaamini ni yule alikuwa anaenda ligi na Lizarau hadi mwenyewe ana surrender![]()
Mbengooooooo zefongokheeee!Espy aliniambia mdomo Uumba..
Akaniambia tujitamkie mambo makubwa makubwa...
Na wewe anza kujitamkia Auntie![]()
Auntie maneno mazuri huumba ujue
Hapana Auntie...
Mimi huko sijafika bado...
Tusalimiane kwanza basi Auntie..
Sina Jeep jamani.. naomba hizi shutma zipuuzwe kabisa..![]()


unafikiri naweza kukuelewa kirahisi rahisi auntie ebu niache bwanaa
Eenh karma bwana ebu fanya kumtag akuje huku japo asalimieNdiyo....
Na sasa hivi ukimuona alivyokuwa mpole mwenyewe....
Hutaamini ni yule alikuwa anaenda ligi na Lizarau hadi mwenyewe ana surrender![]()
Ameeen auntie kweli kabisa mdomo huumbaEspy aliniambia mdomo Uumba..
Akaniambia tujitamkie mambo makubwa makubwa...
Na wewe anza kujitamkia Auntie![]()
AweeeeehNakuona hapa mataa mbele yangu , kitu kama piruuuu.. tisha sanaaa una issue gani huku mikocheni mala ya tatu nakuona hapa unakata kushoto.. au umehamisha ofisi
Team mbaya mbaya hivi haikufungwa ila iliyotoa draw Jioni utakuwa maeneo yako nini nije na markup pen nipige kachataa kiduchu tu pembeni ya tyre
Hayo ndio mambo yake, auntie yako mzito mzito![]()




sasa auntie ebu tufanye mi na wewe tutafute hata vitz za mkopo jamani mambo za kushikilia bomba me nimechoka
Tuote tu dada yangu, hatuwezi teseka kwenye uhalisia na kwenye ndoto kabisa.





Maisha ni kuchagua auntie, wewe si unaota magramu.




nimecheka kwa sauti kubwa auntie yaani una ufala mobAuntie tuote mambo makubwa bwana, sio vitz😂😂😂sasa auntie ebu tufanye mi na wewe tutafute hata vitz za mkopo jamani mambo za kushikilia bomba me nimechoka
😂😂😂😂😂😂nimecheka kwa sauti kubwa auntie yaani una ufala mob
Auntie tuote mambo makubwa bwana, sio vitz![]()




auntie hapana yaani niote rangeeeeeeeee hata vitz sina usinifanyie hivi bwana