Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,838
- 183,045
Hayo ndio mambo yake, auntie yako mzito mzito[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mama jeep ni auntie maki auntie
Hayo ndio mambo yake, auntie yako mzito mzito[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mama jeep ni auntie maki auntie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Litoke wapi Auntie kwa Kapuku mimi...
ESPY Huyo ndiyo ananiotesha mandoto makubwa makubwa...
Sitokiiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tokaaaa
Maisha ni kuchagua auntie, wewe si unaota magramu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora we unaoteshwa mandoto makubwa auntie mimi je uku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana...Wewe ni Aunty Madoo wa Ford Ranger[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hivi lizarazu alipoteleaga wapi?Ndiyo....
Na sasa hivi ukimuona alivyokuwa mpole mwenyewe....
Hutaamini ni yule alikuwa anaenda ligi na Lizarau hadi mwenyewe ana surrender[emoji2]
Mbengooooooo zefongokheeee!Espy aliniambia mdomo Uumba..
Akaniambia tujitamkie mambo makubwa makubwa...
Na wewe anza kujitamkia Auntie[emoji23]
Auntie maneno mazuri huumba ujue[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hapana Auntie...
Mimi huko sijafika bado...
[emoji23][emoji23][emoji23] unafikiri naweza kukuelewa kirahisi rahisi auntie ebu niache bwanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusalimiane kwanza basi Auntie..
Sina Jeep jamani.. naomba hizi shutma zipuuzwe kabisa..[emoji2]
Eenh karma bwana ebu fanya kumtag akuje huku japo asalimieNdiyo....
Na sasa hivi ukimuona alivyokuwa mpole mwenyewe....
Hutaamini ni yule alikuwa anaenda ligi na Lizarau hadi mwenyewe ana surrender[emoji2]
Ameeen auntie kweli kabisa mdomo huumbaEspy aliniambia mdomo Uumba..
Akaniambia tujitamkie mambo makubwa makubwa...
Na wewe anza kujitamkia Auntie[emoji23]
AweeeeehNakuona hapa mataa mbele yangu , kitu kama piruuuu.. tisha sanaaa una issue gani huku mikocheni mala ya tatu nakuona hapa unakata kushoto.. au umehamisha ofisi [emoji51][emoji51][emoji51]
Team mbaya mbaya hivi haikufungwa ila iliyotoa draw Jioni utakuwa maeneo yako nini nije na markup pen nipige kachataa kiduchu tu pembeni ya tyre
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa auntie ebu tufanye mi na wewe tutafute hata vitz za mkopo jamani mambo za kushikilia bomba me nimechokaHayo ndio mambo yake, auntie yako mzito mzito[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuote tu dada yangu, hatuwezi teseka kwenye uhalisia na kwenye ndoto kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti kubwa auntie yaani una ufala mobMaisha ni kuchagua auntie, wewe si unaota magramu.
Auntie tuote mambo makubwa bwana, sio vitz😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa auntie ebu tufanye mi na wewe tutafute hata vitz za mkopo jamani mambo za kushikilia bomba me nimechoka
😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti kubwa auntie yaani una ufala mob
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie hapana yaani niote rangeeeeeeeee hata vitz sina usinifanyie hivi bwanaAuntie tuote mambo makubwa bwana, sio vitz[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niacheeeeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukijumlisha na kikuu, mweeeh wafwaaaaa!