Makapuku Forum

Makapuku Forum

Taratibu basi Makiwendo mdogo wako yuko wapi... bado na maumivu ya kuniacha granooo siku nzima [emoji3][emoji3][emoji3]
He he he....
Wewe!!! Ni nini kimetokea? Hii ID mbona bado inanukia upya.. sasa ile nyingine hutaitumia kabisa?

Mdogo wangu bhana naye ameamua kuja kivingine... yupo anaitwa Hadde mwenyewe[emoji23]Kama sijakosea..
 
He he he....
Wewe!!! Ni nini kimetokea? Hii ID mbona bado inanukia upya.. sasa ile nyingine hutaitumia kabisa?

Mdogo wangu bhana naye ameamua kuja kivingine... yupo anaitwa Hadde mwenyewe[emoji23]Kama sijakosea..
😅😃😅 Ushabikiwa wa mpira mmbayaa, niliapa team yangu isiposhinda ningeachana na ile ID 😀😀
 
Back
Top Bottom