Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Hahahaha.Naandamana walah
Kama umekula limbwata unaona kawaida tu.
Hahahaha.Naandamana walah
Kwa Lizzie itakuwa kama hivi alafu brother yeye ni Mweusi.![]()
![]()
![]()
![]()
dah! Huu utani mwingine aiseeSure!Huyu ndo mzuri ili tunyooke maana mazoea yalizidi sana
Mbona unafatilia sana ndoa yangi ? Kwani vipi kijana
Jana kitwanga bado wengineSure!
Oya we mzee kifimbo cheza wa makapuku upite na hapa usahihisheMbona unafatilia sana ndoa yangi ? Kwani vipi kijana
Naitumia kama role model.Mbona unafatilia sana ndoa yangi ? Kwani vipi kijana

Yangi =yangu duuuhOya we mzee kifimbo cheza wa makapuku upite na hapa usahihishe
cc PNC1
Hahaha poa poa baadae brazaNaitumia kama role model.![]()
![]()
![]()
Lazima watu wanyooke kwa huyu bwana aiseeJana kitwanga bado wengine
Poa brother.Hahaha poa poa baadae braza
Ndio na chapati za maji ( pancake)Umekunywa chai lkn Jimena!!?
huyo mtori unampeleka putaOya we mzee kifimbo cheza wa makapuku upite na hapa usahihishe
cc PNC1

Kama Mimi vileeeIla mkuu nakuheshim sana yaan kuna majukwaa uwa nakuona ad nashangaa unajua vitu vingi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jf doctor umo
Sheria umo
Siasa umo
Hahaha, nakukubal myu

IntelligenceGud, bas tutaendelea kuonana huko