Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mi sizikwi DSM ng'o.....kijijini ndio mpango
Mambo gani haya ya "kuamshana"

........
Zamani walikuwa wanachimba kimo cha kaburi mita tatu kwenda chini, siku izi ni mbili. Kwa maeneo yenye population kubwa ni mita moja.... Hii inamaana kuna maghorofa.....
Baada ya miaka 5..marehemu watakuwa wananing'inia, hakuna nafasi tena...
 
Mbona familia yenu haina shabiki wa wa Chura Fc wewe umerithi kwa nani?
9ecbea06a9fc83d58a3afe90bfb5eae2.jpg
Dingi angu alikuwa Simba damu pia kaka na dada zangu ni Simba ....Mimi na maza ndo tunashabikia chama la wana kiboko ya KIMBA FC

........
 
Zamani walikuwa wanachimba kimo cha kaburi mita tatu kwenda chini, siku izi ni mbili. Kwa maeneo yenye population kubwa ni mita moja.... Hii inamaana kuna maghorofa.....
Baada ya miaka 5..marehemu watakuwa wananing'inia, hakuna nafasi tena...
Mi nahudhuriaga sana tu mazishi....siku hizi vikaburi vifupi utafikiri wanapandikiza migomba

........
 
Zamani walikuwa wanachimba kimo cha kaburi mita tatu kwenda chini, siku izi ni mbili. Kwa maeneo yenye population kubwa ni mita moja.... Hii inamaana kuna maghorofa.....
Baada ya miaka 5..marehemu watakuwa wananing'inia, hakuna nafasi tena...
Hahahaha tunapoelekea watakua wanachoma tu afu majivu ndo yanaenda kuzikwa baharini au mtoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom