Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Mamende wengi mjini.Hahahahah DNA ya nini?
Mamende wengi mjini.Hahahahah DNA ya nini?
yap sikuamini na wala ctak uthibitishoHuamini au?
SanteeeeeeeeeHere we go...
Hapo tunaenda sawa.. Naanza kukufikiria sasaSiichukii ChelseaSiipend Man u Naichukia Madrid
Anafaa kabisa.Kaka manager Huyu anatufaa
Sasa timu inayo shnda makombe ina uzuri wake, japo si ipendKwakweli
Ni bora uslow down![]()
![]()
kwako niko slow
Mende si wale wanaopenda na niliiMamende wengi mjini.
Basi sawaHapo tunaenda sawa.. Naanza kukufikiria sasa
dua zijibiwe harakaNimescan kabisaHajui Kama ww ni photocopy machine??![]()
![]()
Ila mkuu nakuheshim sana yaan kuna majukwaa uwa nakuona ad nashangaa unajua vitu vingiMuulize kati ya Barcelona na Chelsea ipi anaipenda sana?
kwa hyo Vyura Fc huwapendiSasa timu inayo shnda makombe ina uzuri wake, japo si ipend
Ila mfano ana shabikia wa mchangani kapotea mazima hapo
hahaha hahaha hyo mineno mmmmmh.Mjini mipango brother.
Ukija na punda utabeba makopo.
Umeanza kutangaza tena?? Nitafatilia nyendo zako kule jukwaa la sports kwenye thread ya Chelsea then nitakuja hapa na jibu.
Kujichanganya muhimu sana si unajua tena. Nafatilia siasa kimya kimyaIla mkuu nakuheshim sana yaan kuna majukwaa uwa nakuona ad nashangaa unajua vitu vingi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jf doctor umo
Sheria umo
Siasa umo
Hahaha, nakukubal myu
Nina uhakika huyu mtoto si wakwake.Hajui Kama ww ni photocopy machine??![]()
![]()