Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
MORRISON NDO BASI TENA MSIMBAZI
.
Za Ndani Kabisa: Inaelezwa Uongozi wa Simba umepanga kupitisha panga kubwa katika kikosi chake cha sasa na awali vigogo wa klabu hiyo waligawanyika ambapo wapo waliotaka winga mtukutu, Bernard Morrison
abakie na wengine aondoke lakini mwenendo usioridhisha wa nidhamu yake, umewafanya vigogo wa Simba waamue kutomuongezea mkataba mpya, hivyo Morrison Anaondoka Simba.
.
.
Za Ndani Kabisa: Inaelezwa Uongozi wa Simba umepanga kupitisha panga kubwa katika kikosi chake cha sasa na awali vigogo wa klabu hiyo waligawanyika ambapo wapo waliotaka winga mtukutu, Bernard Morrison
abakie na wengine aondoke lakini mwenendo usioridhisha wa nidhamu yake, umewafanya vigogo wa Simba waamue kutomuongezea mkataba mpya, hivyo Morrison Anaondoka Simba..
kubaki au kuondoka kikosini hapo haijafikiwa.
PIGO: LUIS MIQUISSONE NJE MWEZI MZIMA
Al Ahly, imethibitisha kwamba winga Luis Miquissone
atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha mwezi mmoja baada ya kusumbuliwa na maumivu ya misuli ya nyuma ya paja.