Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
THE ITALIAN JOB 
Alipishana na Inter Milan juu ya sera za usajili, hakuwa tayari kushuhudia nyota kadhaa wakubwa wakiondoka, akaamua kuondoka kwakuwa hapendi kuwa sehemu ya kufeli
Akaichukua Tottenham ikiwa chini sana, akaipika anavyotaka na kuongeza majembe kadhaa, kwasasa wapo top five wanapambania nafasi ya kushiriki UEFA
Anataka fungu majira ya kiangazi, tusubiri atamleta nani na nani
Anaitwa ANTONIO CONTE

Alipishana na Inter Milan juu ya sera za usajili, hakuwa tayari kushuhudia nyota kadhaa wakubwa wakiondoka, akaamua kuondoka kwakuwa hapendi kuwa sehemu ya kufeli
Akaichukua Tottenham ikiwa chini sana, akaipika anavyotaka na kuongeza majembe kadhaa, kwasasa wapo top five wanapambania nafasi ya kushiriki UEFA
Anataka fungu majira ya kiangazi, tusubiri atamleta nani na nani
Anaitwa ANTONIO CONTE
1-1
PETRO ATLETICO (Agg. 4-2)
️ Gleison

Trent Alexander-Arnold
Kevin De Bruyne
️ Heung Min Son
Jarrod Bowen