Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ngoja tuone aisee kama ataoa ,atafika wanne yuleHii ya mke wa tatu hivi ni kweli au
Nakwambia wangetufunga leo angekesha kututukana
Jama huyu ana drama kweli na lazima angetusema
Ngoja tuone aisee kama ataoa ,atafika wanne yuleHii ya mke wa tatu hivi ni kweli au
Nakwambia wangetufunga leo angekesha kututukana
Nawashkru mashabiki wa timu zote kwa kuvumiliana na mmepokea matokeo kwa moyo mmoja

Nipo apa babeBaibee shuu
Na ninasikia ye ndio mwenye shida kwa wake zake anapiga sana na gubu, mlevi mpaka kutembea na mashogaNgoja tuone aisee kama ataoa ,atafika wanne yule
Jama huyu ana drama kweli na lazima angetusema
Dah so sadNa ninasikia ye ndio mwenye shida kwa wake zake anapiga sana na gubu, mlevi mpaka kutembea na mashoga
Hamna mwanake anaweza vumilia hizo mamboDah so sad
Hakuna aisee kwanza yule nahisi anawachamba pia sio kwa maneno aliyonayoHamna mwanake anaweza vumilia hizo mambo
Hakuna aisee kwanza yule nahisi anawachamba pia sio kwa maneno aliyonayo


nimewaza hiyo ya kuwachamba halafu awe amelewa na anwatukana nasikia juzi kati ex wife wake mmoja alikuwa kwa app ya mange na picha za kupigwa zikawekwaDuh mbona balaa hiyonimewaza hiyo ya kuwachamba halafu awe amelewa na anwatukana nasikia juzi kati ex wife wake mmoja alikuwa kwa app ya mange na picha za kupigwa zikawekwa

Mwaleh Mawele
Nafikiri wengi tunakubaliana kuwa Thadeo Lwanga ni kiungo mzuri mkabaji ( defensive midfielder ), nadhani wote tunajua alikuwa na umuhimu gani ndani ya kikosi kabla hajaanza kusumbuliwa na majeraha.
Tumtazame Pablo Franco kisha tumuangalie na Thadeo, mwamba yupo fiti, unapotaja kiungo wa ulinzi katika kikosi cha Simba hakuna anaefikia ubora wa Thadeo, nadhani anafurahia zaidi kuzuia anapokuwa ndani ya kiwanja.
Kwenye double pivot ya Simba katika system ya 4-2-3-1 yupo Jonas Mkude na Sadii Kanoute, Mkude anacheza kama holding midfielder na Sadio anacheza kama box to box midfielder.
Thadeo si mzuri akicheza kama box to box midfielder kutokana na uwezo wake mdogo wa kupiga pasi za mbele ( forward pass ) na kukokota mpira kuitafuta space ( dribbling ), kwa maana nyengine ni rahisi kwa Thadeo kuchukua namba kwa Mkude kuliko Sadio.
Mkude si mzuri sana katika kukaba kama utamlinganisha na Thadeo, Mkude ni passer, anaweza kupiga pasi tatu za mita 40 na zote zikafika, hapa tu ndipo anakuwa muhimu katika kikosi cha Pablo, kupiga pasi ndefu zinazoiharakisha timu kwenda katika zone ya mwisho.
Siamini kama Thadeo ni mchezaji mbaya lakini Jonas Mkude anatoa kitu extra, uzuri ni kwamba timu haipo kwenye risk kwa sababu anapewa bima ya kukabiwa eneo kubwa na Sadio ambae anafanya mikimbio baina ya maboksi mawili.
Kama mambo yataendelea kubaki hivi inawezekana huu ukawa ni msimu wa mwisho wa Thadeo ndani ya jezi ya Simba, bado ana sehemu ya kuweza kuisaidia timu lakini hapa kwetu hatuamini kama inafaa kuwa na mchezaji wa aina yake katika benchi.
Wa kwanza sijui wa pili acha hawa wawili wa mwisho kabla ya hawa alishaacha wawili kumbeDuh mbona balaa hiyo
Yule mke wa kwanza ndo alipigwa ?
Aise pole kwake
Aisee hatariWa kwanza sijui wa pili acha hawa wawili wa mwisho kabla ya hawa alishaacha wawili kumbe
Na usikute wale watoto mama zao ni tofautiAisee hatari
Mweh ndio maana ana watoto
Yeah inawezekana kabisaNa usikute wale watoto mama zao ni tofauti

Ali kamwe
Mwili wa Primary, Ukatili wa Guantanamo Bay! What A Kid. Ameicheza 'Derby' kwa miguu, kichwa na Moyo wake. Ujasiri wake.. Kasi na Timing nzuri ya kupokonya mpira, iliwapa Yanga nguvu kwenye kujilinda
Ukitafuta kwa makini nini kilipunguza ukali wa Feisal kwenye 'zone ya 14' ya kiwanja anaposhambulia.. Utaiona kazi kubwa ya Jonas Mkude.. Sio kwa ajili ya kukata. Ni kwenye 'Brain' ya kukaba zone
Mchango mzuri Muzamir Yassin! Hongera kwa Mwamnyeto na Dickson Job.. Mechi nzuri kwa Perfomance zao
Mnooooo si mkaka wa mjini na kipindi yupo single kwake house party haziishiYeah inawezekana kabisa
Jamaa ana mambo mengi yule .